Ummy Mwalimu: APHTA warudi mezani tujadili kuhusu kitita cha NHIF huku wagonjwa wakiendelea kutibiwa

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,610
17,836
IMG_20240301_143159_717.jpeg
IMG_20240301_143159_720.jpeg
IMG_20240301_143200_074.jpeg

4.jpeg


IMG_20240301_143159_806.jpeg
IMG_20240301_143200_074.jpeg
IMG_20240301_143200_002.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20240301_143200_223.jpeg
    IMG_20240301_143200_223.jpeg
    1.2 MB · Views: 6
Hayo maneno simmeyajadili huko ndani? Sasa unalalamika sisi tukusaidie nini?
Mwenyewe haelewi kama kikao alifanya tar 17 au 20 februari.
Nikajua anakuja kueleza jambo Moja katiya haya mawili.
1: Kuweka katazo la waliogomea kitita cha NHIF kwamba lazima wapokee wagonjwa. AU.
2: KUJIUZULU
Ummy Must Go..
Huyo qware ndo anayempoteza
 
Ninasema hizi wizara wapewe watu wanaojielewa,wenye uthubutu wa kusimamia mambo. Amekosa ushawishi na uthubutu. Sasa anataka vikao na watu haohao waliomgomea kwa muda mrefu. Ninasema asipojiuzulu LAZIMA atakubaliana nao au labda mamlaka za juu zimsaidie. Amechoka asaidiwe
 
Back
Top Bottom