mbebamaono
Member
- Oct 16, 2019
- 57
- 89
First to replyChama hiki hakikujipanga kwaajili ya ushindani hii ni kutokana na udikteta wa viongozi wao kuendesha chama,kila agizo linatoka kwao tu hakunà kushirikisha wanachama,tangu2015 hakipendwi tena na wananchi.
Inakuaje taasisi kubwa hivi ikakosa interejinsia ya kung'amua kuwa serikali itatukatia majina ya wagombea wetu na je?tufanyaje sasa ili wasitukate?....hamkujipanga mlikurupuka kwenda vitani kwa kutegemea mtashinda bila kuwa na mbinu bora.
CCM ilishinda vita ndipo ikaingia vitani,nyie mmeingia kimachomacho tu bila kuwa na planiB,mnavuna mlichopanda2015.