Wananenepa kwa sababu wana vyeti vyao,wanakula kutokana na jasho lao sio nyie mnaokula kwa kulamba miguu ya watawala,ccm oyeeMnyika juzi kati vijana wa Kata ya msigwa wakamuweka kati kwa kuwadanganya na utapeli wa siasa ,viogozi kama mnyika wanao nenepa kama nguruwe na kutelekeza jimbo 2020watafute kazi ya kufanya
State agent
Unaona sifa mwenyewe kuongea upupu mbele ya watu wenye akili zao
Hongera sana kama bado uko na hiyo moraliBora wamenipunguzi kusimama foleni siku hiyo 24/11/2019
Nitakaa home na shughuli zangu
Ni kwamba baada ya kufanikiwa kuandikisha watu "feki" kwenye uchaguzi huu wa mitaa sasa TAMISEMI wakaona njia nzuri kukwepa aibu hii, bora wawape CCM kupita bila kupingwa .Nini maana ya kupita bila kupingwa. Ina maana hakuna uchaguzi kwenye hiyo mitaa.Hakuna uchaguzi kwenye hiyo mitaa kwasababu hakuna watu waliojiandikisha.
Pamoja na waliokulea wewe,Sio kosa lako.
Walio kulea wanabeba huu msalaba
SawaPamoja na waliokulea wewe,