BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,120
Akiwasilisha Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote Bungeni baada ya kukwama mara mbili, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema baada ya Serikali kutakiwa kueleza chanzo cha Fedha zitakazoendesha Bima ya Afya kwa Wote, Wizara ya Fedha imeridhia kuhamisha baadhi ya Kodi na Tozo kwenda kwenye mfuko huo.
Baadi ya Kodi ni pamoja na Kodi ya Magari, Vinywaji vya Bicarbonate, Vinywaji Vikali na Tozo za Miamala itaingia moja kwa moja katika kugharamia huduma za Bima.
Baadi ya Kodi ni pamoja na Kodi ya Magari, Vinywaji vya Bicarbonate, Vinywaji Vikali na Tozo za Miamala itaingia moja kwa moja katika kugharamia huduma za Bima.