Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Bibikia haisemi na hijawaji kusema dunia iko flati.
Ukiendelea kuhoji utajifunza Mengi.
'' He sits enthroned above the circle of the earth, and its people are like grasshoppers. He stretches out the heavens like a canopy, and spreads them out like a tent to live ' Isaya 40:22
7:1 Baada ya hayo nikawaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za dunia wakishika pepo nne za dunia ili upepo usivume hata kidogo: wala katika nchi, wala baharini, wala kwenye miti.

Duara halina pembe nne.

Yesu n Mungu wako mkuu.
Mimi naungana na malaika wote, wazee 24 na wenye uhai wanne na viumbe wote wa Mbinguni Kumuabudu na Kumtukuza Yesu Mungu Mwana.
Wewe ungana kumuabudu Mungu ambae sio Mungu, ila ana uungu usiokuwa ungu na lazima amlilie Mungu baba ambae ni yeye mwenyewe 😀

Siwezi kuabudu binaadamu wala mungu anaesulubiwa msalabani.

mnadanganywa mkuu. Malaika wanafree will. Mungu haabudiwi na maroboti ambao hawana hiyari viumbe wote wanamtii na kumwabudu Mungu kwa hoyari, Hata wewe ukiingia mbinguni utamuabudu kwa hiyari hutaondolewa free will.
Malaika hawana free will na ni viumbe visivyokuwa na matamanio kama alokuwa nayo mwanadamu. Ila katika ukiristo, bibilia ilioandikwa na watu mkafundishwa miongoni mwa uongo kuwa malaika waliasi kwa mungu.. subiri nicheke kwa nza 😀 😀 😀 😀 😀 Eti malaika ana aasi kwa mungu. Shida kweli kufata maandishi ya watu yaliowafundisha kuwa mitume wenu ni wazinifu na majambazi na wauaji. Umekuwa brainwashed. hujui kabisa uumbaji.
 
1: asante kwa ukubali. nitakutag nipe nafasi ila lazima ujue hizi imani zetu lazima tufungue ubongo hadi ambako hukuwahi kudhani ulipaswa kufikiri.
Mungu akubariki sio leo wala kesho ila wiki hii haipiti.
2: Naomba hata ushahidi wa kipande cha karatasi kilichoandikwa wakati mtume Yuko hai. Nitakutumia 10,000 ya Bundle mkuu bure.
hakipo duniani pote.
3:Mitume na manabii, walipewa na Mungu, na waliandika, ila habari za Torati, zaburi zote zipo ndizo hizo unazozisoma kwenye Bibilia. Hakuna kilichopotoka kama kipo nionyeshe, na kilipotoka lini na kwa ushahidi upi. Imefika wakati tuache kibishana tuelimishane kwa shahidi mbalimbali.
4:Hii unayoipinga, angalau uanze kunionyesha hiyo unayodaiiliandikwa na Yesu sisi tumeichakachua. Hii ni tuhuma kubwa unatakiwa uithibitishe kwanza hata angalau kwa kuionyesha hiyo iliyochakqchuliwa mkuu

Elfu kumi katowe sadaka.
 
7:1 Baada ya hayo nikawaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za dunia wakishika pepo nne za dunia ili upepo usivume hata kidogo: wala katika nchi, wala baharini, wala kwenye miti.

Duara halina pembe nne.


Wewe ungana kumuabudu Mungu ambae sio Mungu, ila ana uungu usiokuwa ungu na lazima amlilie Mungu baba ambae ni yeye mwenyewe 😀

Siwezi kuabudu binaadamu wala mungu anaesulubiwa msalabani.


Malaika hawana free will na ni viumbe visivyokuwa na matamanio kama alokuwa nayo mwanadamu. Ila katika ukiristo, bibilia ilioandikwa na watu mkafundishwa miongoni mwa uongo kuwa malaika waliasi kwa mungu.. subiri nicheke kwa nza 😀 😀 😀 😀 😀 Eti malaika ana aasi kwa mungu. Shida kweli kufata maandishi ya watu yaliowafundisha kuwa mitume wenu ni wazinifu na majambazi na wauaji. Umekuwa brainwashed. hujui kabisa uumbaji.
Hiyo "brainwashed" ndiyo mimi huwaambia wamesomea ujinga.

Wanajidai hawanielewi!
 
emu
naomba kwanza huo ushahidi wa unachokisema.
Pili unafeli sehemu ndogo tu.
Maandishi ya Bibilia hayakuandikwa nicea kisha yakachujwa kikatoka kitabu kimoja kikasambazwa duniani kama ilivyo kwa quran.
Hadi 100AD injili zote zilikuwa zimeshaandikwa, na kusambazwa sehemu mbalimbali, ikifika mahala watu wanacopy na kutuma tenda kwingine bila kusimamiwa na mkuu flani wa dini. Mavitabu yote ya Uzushi yalikyokataliwa huko nicea yameibuka na kutungwa tu Baada ya Injili kuwa zimeshatapakaa siku nyingi kila kona bila kuzuilika.
Hakuna mahala nliposema kuwa maandihsi yaliyopo kwenye bibilia kuwa yameandikwa kwenye kikako cha Nicea, ushachanganyikiwa au unajaribu kukimbia 😀 😀 nimekwambia mlikaa mkachagua kipi kiwekwe na kipi kisiwekwe kwenye hio 'Bibilia" hakuna nliposema kuwa mmeandika maandishi siku hio. usipotoshe. Niletee msingi mlotumia kuchagua kipi kiwepo na kipi kisiwepo kwenye Bibilia.

Quran haina ushahidi popote na wowote wakimaandishi kuthibitisha hicho mnachokisoma ndicho alichoonwshwa mtume, hakuna manuscript yoyote ya miaka ya 600s. Ni jopo lilitoa na kuisambaza (Caliph Uthman) wakati Maandishi ya Bibilia Yalisambazwa kwanza bila control ya mtu yoyote wala kikao chochte. hta siku walipokuja kukaa kuregulate mambo ya kutungwa sio kufuta au kuongeza mambo mapya tayari injili iko hadi vijijini pasipo fikika.
Rudi tena usome vipi Quran imedumu mpaka leo kama ilivyoshushwa.

Kwa ufupi tu, Mtume kaletewa aya, akawafundisha masahaba wake, masahaba wake wakawa wanafundisha na wengine. Siku ilokuwa compiled, waliitwa masahaba waliohifadhi Quran, na mmoja mmoja kuanza kusoma na wengine kumsikiliza, penye makosa anakosolewa na wanakubaliana kipi sahihi. hata siku za karibuni mliona pale uwanja wa taifa, mtoto mdogo anasoma akikosea anakosolewa. Sasa nipe msingi wenu wa bibilia mliotumia kuchagua kama hili linatoka kwa mungu na hili halitoki kwakwe, hili tuliache, jhili tulieke.
 
kuna mambo najua ukitaka tujifunze kwa kina, tuongeze kina cha huu mjadala utajuta kwa nini uliamini quran.
nakuhakikishia, hatutaki kufika huko maana hatushindani ila ipo siku ukielewa utaona ulipoteza muda mrefu sana kuamini kitabu cha juzi tu ambacho hakina ushahidi wa uwepo wakw, ukadharau vitabu vya kale vyenye ushahidi lukuki wa uwepo wake.
Unajidai kuwa hutaki kufika huko, kufika wapi 😀? unanchekesha sana, yaani nijutie kuamini kitabu cha Allah, niamini kitabu cha Pauolo na petro? ambacho kila mmoja katia mkono wake. Ingekuwa unataka kujifunza ukweli wa hivi vitabu, saiv ungekuwa ushasilimu, kwa sababu ndani ya bibilia kuna ushahidi wa kutosha kuwa sio kitabu cha mungu bali cha waandishi.

Unaanzaje kuamini kitabu usichojua mwandishi wake? Hebu twende huko tuone nani atajutia
 
hujasoma ulichokijibu.
Maneno anayofunuliwa mtume, kwa imani yenu yanahadhi sawa na maneno waliyofunuliwa wakina nabii Musa, Dawood, Hazrat Isa.
Sasa leo Mola anaposema maneno yake hayabadiliki,,leo unambagua eti aliyomfunulia mtume tu hayabadiliki ila anayofunulia manabii mengine hubadilika.

naomba ushahidi wa hii propaganda mkuu. Mtume ameshakuumbua
Aya inamwambia mtume kuhusu aliyofunuliwa yeye Muhammad s.a.w na sio waliofunuliwa kabla yake. Iko wazi, ila kama kawaida yenu wakiristo, kupindisha maana ili ikidhi matakwa yenu. Wafanyie wakiristo wenzako sio waislam.

Sasa wewe hadi sasa hujaleta aya aliosema kuwa atailinda Injil, hadi tunafika hapa hujawahi kuniletea injil ya issa
 
KwaMujbu wa ndugu zetu waislam Yesu ni mtu tu kamaibrahim . ndio tunahoji hapa kama ni mtu kwa nini baba awe mariam? Angalau basu awe issa IBn Yusuf baba mlezi.


Allah anasema baba mzazi ya issa ninani? Kama hana Baba basi sio mtu huyo, mariam ilikuwa ni njia tu

Hahahah nakushauri tu ukitaka kuchallenge elimu ya dini ya kiislam unatakiwa uwe deep haswaa sio unagusa vitu juu juu tu kiasi kwamba ata mtu akitaka kukusaidia anashindwa aanzie wap
 
sio waraqa tu hata mtume muhamad alikuwa nayo. Hayo ya Isa kupewa injili mmejitungia nyie, Injili ziko nne nazo zinaelezea Maisha ya Yesu.

Soma 5:46-47.
Mtume anatambua uwepo wa injili wakati wake, na anasema wanayoiamini watahukumiwa kwa hiyo, kama anavyosema surah hiyohiyo wayahudi naomwatahukumiwa kwa taurat yao.
Ushahidi uko wap kama mtume alikuwa nazo izo injil nne?

Aya uloileta, tafsiri yake ni hii;

5:46
And We sent, following in their footsteps, Jesus, the son of Mary, confirming that which came before him in the Torah; and We gave him the Gospel, in which was guidance and light and confirming that which preceded it of the Torah as guidance and instruction for the righteous.

5:47
And let the People of the Gospel judge by what Allah has revealed therein. And whoever does not judge by what Allah has revealed - then it is those who are the defiantly disobedient.

Hivi hujui hata kutafsiri ewe Muongo? Mfuasi wa kizushi. Hii ndio Quran, ipo kwenye asili yake, ukipotosha tunatizama asili yake, bibilia wewe huna ata asilia yake.

Wacha watu wakuone ulivokuwa Muongo, subiri ukutane na brainwashed christians ndio ulete tafsiri ya kizushi 😀

Allah anasema amempa Injil Issa, sasa hao wa bibilia wamepewa na nani? Akina mattayo na wenzake?
 
[QUUOTE="mitale na midimu, post: 31958295, member: 321780"]
Yesu hakuhitaji hayo maana ndiye aliyewaumba Adam na Hawa wakiwa na Baba Yake. Baba Yake Haitaji Kumzaa wotenwapo milele[/QUOTE]

Huwa nina wasi wasi sana na elimu zenu. Hivi Yesu ndio aliwaumba Adam na Hawa akiwa na baba yake? Wakati huo yeye alikuwa na umri gani?
Kwahiyo unataka kusema kuna Mungu wawili, kwa maana ikiwa mtoto wa ngombe nae ni ngombe? Je viti vya enzi vipo vingapi?
 
[QUUOTE="mitale na midimu, post: 31958295, member: 321780"]
Yesu hakuhitaji hayo maana ndiye aliyewaumba Adam na Hawa wakiwa na Baba Yake. Baba Yake Haitaji Kumzaa wotenwapo milele

Huwa nina wasi wasi sana na elimu zenu. Hivi Yesu ndio aliwaumba Adam na Hawa akiwa na baba yake? Wakati huo yeye alikuwa na umri gani?
Kwahiyo unataka kusema kuna Mungu wawili, kwa maana ikiwa mtoto wa ngombe nae ni ngombe? Je viti vya enzi vipo vingapi?[/QUOTE]

unaandika kiisilamu silamu [emoji12] Mbona mungu wako kawapa darja la WASOMI NA WACHA MUNGU WAKRISTO?? kwa ULICHO andika unabishia Allah [emoji12][emoji23][emoji23]
 
Mtume, wake zake, rafiki zake wote na waislam wote huitwa kwa ubin Wa baba. Hata wote kwenye taurat,zabur,injil, hakuna anayetumia jina la mama.
Mfano Juma Bin Said.

Kwa nini Sio Issa Bin Yusufu?

Je mnakubali kisirisiri kuwa Yesu ni Mungu aliyekuja kupitia Marian na sip trndo la ndoa kati ya Mariam na Yusufu?


UPDATES
Tumegundua Yesu hakuwa na Baba Binadamu. Tumegundua Yesu hakuanzia Tumboni mwa Mariam ila alipitia Tumboni mwa Mariam. Waislam wako sahihi Kumuita Issa Bin Mariam ila watakuwa sahihi saizi wakimuita Mwana Wa Mungu ambaye ni Mungu.
Kama Yesu ni Mungu kwakuwa hakuwa na baba wa kibinadamu, Je Adam ambaye hakuwa na baba wala mama wa kibinadamu utamwitaje?? Acheni kusema msioyajua. Mwenyezi MUNGU huumba apendavyo, vivyo hivyo Yesu ni kiumbe wa Mwenyezi MUNGU na aliumbwa kwa amri yake.
 
Naomba mtume mwingine aliyeAliwa hivyo?
Naomba zaidi ya Yesu mwanadamu aliyezaliwa bila Baba.

Hata Yesu hasemi Yusufu ni Baba Yake, ila yeye sio Wa ulimwengu huu.Yusufu ni Baba Wa kulea.

Hivyo chanzo cha Yesu sio Mariam ,Mariam ni njia tu
Hoja yako ni dhaifu mkuu, hivi hujiulizi kuhusu Adam ambaye kabla yake hakuwepo mwanadamu yeyote? Kuzaliwa kwa Yesu si muujiza kuuzidi wa kuumbwa Adam.

Mwenyezi MUNGU huumba apendavyo, akitaka jambo huliambia kuwa na likawa.
 
Hata waislam wote hawaamini mtume ni nabii wao wa mwisho ndio maana mnabaguana shia, hamadiaya, sunni etc.
sio hoja yangu.
Wakristo kukataa Yesu ni Mungu mfano JW haimzuii Kuwa Mungu, Haimpori sifa zake.

Ila yeye Ametuhakikishia siku ya kiyama kila kinywa kitakili, na kila Goti litapigwa.
Niafadhali uanze kumsujudia sasa kuliko umsujudie siku ukiwa umechelewa alafu ukubali kabisa kula fire maana utasema hata mitale na midimu aliniambia. Moyo ulisadiki lakni niliogopa dini yangu itanionaje nikikana imani?
Ni Muislam yupi asieamini kuwa Muhammad ni mtume wa Mwenyezi Mungu? Tofauti kati ya Shia, Ibadhi na Sunni sio kwenye kuamini mitume na kama tofauti yao ndio hiyo weka ushahidi.
 
Aya inamwambia mtume kuhusu aliyofunuliwa yeye Muhammad s.a.w na sio waliofunuliwa kabla yake. Iko wazi, ila kama kawaida yenu wakiristo, kupindisha maana ili ikidhi matakwa yenu. Wafanyie wakiristo wenzako sio waislam.

Sasa wewe hadi sasa hujaleta aya aliosema kuwa atailinda Injil, hadi tunafika hapa hujawahi kuniletea injil ya issa

Tuwekee Ushahidi HUMU Allah kamtuma Muhammad ibn Abd'Allah [emoji44] NENO LA MUNGU HALITANGUKI [emoji123][emoji106]
IMG_20190704_141133_524.jpeg
 
Tuwekee Ushahidi HUMU Allah kamtuma Muhammad ibn Abd'Allah [emoji44] NENO LA MUNGU HALITANGUKI [emoji123][emoji106]View attachment 1146361
Jibu lako hili;
Capture.JPG


By the way, umeniletea maneno ya Mattayo sio maneno ya Mungu. nasubiri ahadi ya Mungu kuilinda Bibilia uilete hapa. Na ili kuthibitisha kuwa Injil ya mattayo haitoki kwa Mungu bali kwa binaadamu;

Capture.JPG


Mnaweza kukaa kitako mkajadiliana mfute izi aya kuficha aibu ya ujinga wenu 🙂
 
Unakataa kwamba hakuna Lawhul Mahfoodh au ?
Sasa hii ndio Lawhul Mahfoodh,Anasema Allah aliye juu :

70. Je! Hujui kwamba Mwenyezi Mungu anayajua yaliomo mbinguni na katika ardhi? Hakika hayo yamo Kitabuni. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi. (al Hajj : 70)

Yaani huko kuna kila kitu,mpaka matendo yako yapo huk yameandikwa.

Aliziweka Mola muumba na kuhusu lini anajua mwenyewe Allah.


Una kubali Yesu alikuja na Injili ? Kama unakubali je hii mliyonayo ni kama ile ? Maana umekiri ya kuwa Walioandika injili wameandika habari za Yesu na matukio yake,sasa habari za Yesu ndio Injili ?


Nacheka sana,bado huu uhuni wa kunakili nusu nusu bado unao,kwanza ulitakiwa uanze aya ya 43 uje mpaka aya ya 40. Lakini hapa ngoja nikuwekee mpaka aya ya 48 ili ujue kulikuwa kunazungumizwa nini.

Anasema Allah aliye juu :

46. Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayo sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na uwongofu na mawaidha kwa wachamngu.
47. Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio hukumu kwa yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio wapotofu.
48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana. (al Maidah : 46-48)
1: Mkuu naomba aya Injili mnayodai ni ya Yesu iko mbinguni Lawhul Mahfoodh.
Na uniambie kwa nini muamini injil ambayo iko huko, wakayi enzi za mtume ilikuwepo. Nani kaipeleka na imepelekwa lini kwa manufaa ya nani?

2:Mimi nimekuambia Injili ameileta Yesu. Hajaandika wala hajawahi kuandika hata jarida. Ila Alichokileta na Kimeandikwa katika vitabu vinne vya Injili.
Wewe unaamini Alileta injili akaandika kitabu, Nakiomba basi mbona hoja ndogo. Kama huna unasema imeharibiwa nipe hiyo mbovu.

3:Sura zako hazijajibu wala kukanusha hoja. Watu wa injili ambao wanapaswa kuhukumiwa na injili wako wapo, walienda wapi kama hawapo. Unaushahidi wa kukataa injili, taurat na zaburi hazikiwepo enzi ya mtume. Kama huna utulie mkuu
 
Back
Top Bottom