Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Mtume, wake zake, rafiki zake wote na waislam wote huitwa kwa ubin Wa baba. Hata wote kwenye taurat,zabur,injil, hakuna anayetumia jina la mama.
Mfano Juma Bin Said.

Kwa nini Sio Issa Bin Yusufu?

Je mnakubali kisirisiri kuwa Yesu ni Mungu aliyekuja kupitia Marian na sip trndo la ndoa kati ya Mariam na Yusufu?
Tupe ushahidi kuwa yesu ni mungu
 
Mtume, wake zake, rafiki zake wote na waislam wote huitwa kwa ubin Wa baba. Hata wote kwenye taurat,zabur,injil, hakuna anayetumia jina la mama.
Mfano Juma Bin Said.

Kwa nini Sio Issa Bin Yusufu?

Je mnakubali kisirisiri kuwa Yesu ni Mungu aliyekuja kupitia Marian na sip trndo la ndoa kati ya Mariam na Yusufu?


Nani amekwambia Yesu baba ake ni Yusufu ? Sasa ndio utuambie Yesu baba ake Yusufu kimalezi au kinasaba ? Na kama kinasaba utupe ushahidi.

Kwetu sisi waislamu Yesu(Issa) kazaliwa pasi na baba,ndio maana ubini wake unarudi kwa mama,na kuitwa ISSA MWANA WA MARIAM.
 
Nani amekwambia Yesu baba ake ni Yusufu ? Sasa ndio utuambie Yesu baba ake Yusufu kimalezi au kinasaba ? Na kama kinasaba utupe ushahidi.

Kwetu sisi waislamu Yesu(Issa) kazaliwa pasi na baba,ndio maana ubini wake unarudi kwa mama,na kuitwa ISSA MWANA WA MARIAM.
Naomba mtume mwingine aliyeAliwa hivyo?
Naomba zaidi ya Yesu mwanadamu aliyezaliwa bila Baba.

Hata Yesu hasemi Yusufu ni Baba Yake, ila yeye sio Wa ulimwengu huu.Yusufu ni Baba Wa kulea.

Hivyo chanzo cha Yesu sio Mariam ,Mariam ni njia tu
 
Tatizo hueleweki,wewe ndio unathibitisha kuwa Yesu baba ake ni YUSUFU au unataka kujua kwanini sisi tuna muita mwana wa MARIAM ?
Huyu ni Baba Wa kumlea, angalau mmgemuita isa bin Yusufu. Kama Leo tumekubaliana Yesu hana Biological father, Basi tukubaline baba ni Yule aliyekuwa akimuomba na anasema yuko naye siku zote yeye na Baba huyo ni ummoja, uungu una yeye 100% na Yesu sio Kiumbe ni Muumba pamoja Baba yake. Sasa rudi kusoma Yohana Moja uje ubatizwe
 
Huyu ni Baba Wa kumlea, angalau mmgemuita isa bin Yusufu. Kama Leo tumekubaliana Yesu hana Biological father, Basi tukubaline baba ni Yule aliyekuwa akimuomba na anasema yuko naye siku zote yeye na Baba huyo ni ummoja, uungu una yeye 100% na Yesu sio Kiumbe ni Muumba pamoja Baba yake. Sasa rudi kusoma Yohana Moja uje ubatizwe
Kwahyo tukubaliane hapa ndo ulimwengu mzima utakubali?
 
Baba yake ni yusuph au mungu?
Mbona mnatuchanganya nyie wakristo.
KwaMujbu wa ndugu zetu waislam Yesu ni mtu tu kamaibrahim . ndio tunahoji hapa kama ni mtu kwa nini baba awe mariam? Angalau basu awe issa IBn Yusuf baba mlezi.


Allah anasema baba mzazi ya issa ninani? Kama hana Baba basi sio mtu huyo, mariam ilikuwa ni njia tu
 
Naomba mtume mwingine aliyeAliwa hivyo?
Naomba zaidi ya Yesu mwanadamu aliyezaliwa bila Baba.

Hili swali liko nje ya mada. Nakujibu lakini uslifanye likawa mada maana huchelewi kubadilisha mada. Hakuna mtume mwingine aliyezaliwa bila baba.
Hata Yesu hasemi Yusufu ni Baba Yake, ila yeye sio Wa ulimwengu huu.Yusufu ni Baba Wa kulea.

Sasa kama unajua ya kuwa YUSUFU ni baba wa kulea kwanini umeileta hii mada ? Kina nani wanasema ya kuwa YUSUFU ni baba wa Yesu wa kumzaa ?
Hivyo chanzo cha Yesu sio Mariam ,Mariam ni njia tu

Sasa unataka tujadili uungu wa YESU bila shaka,maana mjadala wa mada yako umeisha.

Inaonekana hujui hata chanzo maana yake nini ? Ukifasili chanzo wa maana yako wewe,sisi sote na vyote vilivyomo chanzo chetu ni Mola muumba.

Hivi yule aliyempa habari MARIAM juu ya uzao wa YESU anaitwa na alikuja katika umbile gani na wakati huo YESU alikuwa katika umbile gani ?

Sasa usituchezee akili sisi watu wazima na usipoteze muda kadhalika.
 
Back
Top Bottom