Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Hawa mama yake nani?
uliza maswali ya maana.
hawa ni mama ya wanadamu wote. hakuna nyuma yake mtu. yeye na mume wake ndio source ya wanadamu. chanzo chao ni kuumbwa,

Yesu haymo katika hiyo chain kwanza anasema huku alikuja tu alkuwa mbingūni ndio maana kaja nje ya mifumo yetu.

hili tu linatosha umuangalie upya
 
uliza maswali ya maana.
hawa ni mama ya wanadamu wote. hakuna nyuma yake mtu. yeye na mume wake ndio source ya wanadamu. chanzo chao ni kuumbwa,
Yesu haymo katika hiyo chain kwanza anasema huku alikuja tu alkuwa mbingūni ndio maana kaja nje ya mifumo yetu.
hili tu linatosha umuangalie upya
Basi kwani Adamu na Hawa wasiwe miungu kwanza
[NOTE] JIBU LIPO.
 
Wanajipendekeza tu, Issa bin Maryam sio Yesu Kristo Mwana Wa Mungu
Kama ilivyo Biblia sio Quran wala Uislam sio Ukristo!
Kila mmola akiridhika na imani yake hakutakuwa na shida tena!
Yesu sio Issa.
Qur'an sio Biblia.

Ila wale malaika waovu ndio mapepo/majini,huwa nashindwa kabisa.
 
Nashangaa navysosema sijakuekewa. Sasa kwamaelezo yako ndio uonyeshe huo uongo uko wapi na wewe umejuaje hilo ? Kusema tu bila kuonyesha ithibati wewe unaingia katika kundi la waongo.

Kuna tofauti kati ya mtu ambae hajaelewa na yule ambaye ameelewa ila bado analinda misimamo yake. Pia huwa siingii katika mijadala ya kumtafuta mshindi bali mawazo na mitazamo iliyopo sahihi. Ngoja niwaache wafu muendelee kuzikana. I'M OUT
 
Mtume, wake zake, rafiki zake wote na waislam wote huitwa kwa ubin Wa baba. Hata wote kwenye taurat,zabur,injil, hakuna anayetumia jina la mama.
Mfano Juma Bin Said.
Kwa nini Sio Issa Bin Yusufu?
Je mnakubali kisirisiri kuwa Yesu ni Mungu aliyekuja kupitia Marian na sip trndo la ndoa kati ya Mariam na Yusufu?
JIBU LAKO;
Si Issa Bin Mariam pekee atumie ubin wa mama huenda hujakutananao kutokana na kutokufahamu

Uliza tena
 
Basi kwani Adamu na Hawa wasiwe miungu kwanza
[NOTE] JIBU LIPO.
hawawezi kuwa miungu kwa sababu wameumbwa froms scratch na historia ya kuumbwa kwao iko wazi.
ukisema hao ni miungu basi kila kiumbe ni Mungu.

Ila Yesu japo alionekana katika ubainadamu waislam wanasema hana Baba yeye anasema ni kweliSijazaliwa kama nyie maana mimi sikuanzia tumnoni mwa mama nilikuwepo humo nilipita tu kwa uwezo ambao hakuna mawanadamu mwingine aliyepitia huo.

Ndio maana anasema '' Nilishuka kutoka Mbinguni'' haya yote hutaki.
 
JIBU LAKO;
Si Issa Bin Mariam pekee atumie ubin wa mama huenda hujakutananao kutokana na kutokufahamu

Uliza tena
Kwa sababu hana baba mwanadamu, na Yule mama ni njia tu wala ukute hata DNA haziendani maana aliingia tumboni mwakd kwa uwezo nje ya ubinadamu ankutoka kisha kupaa kurudi alikotokahata sasa yuko hai anakushangaa unavyohangaika.
Mkuu Yule ndio Uhai. Uzima

rudia sasa kusoma Yohana Moja, mbona ameeleza vizuri. Tena sio kiumbe au kiumbwa ni muumba.
 
hawawezi kuwa miungu kwa sababu wameumbwa froms scratch na historia ya kuumbwa kwao iko wazi.
ukisema hao ni miungu basi kila kiumbe ni Mungu.

Ila Yesu japo alionekana katika ubainadamu waislam wanasema hana Baba yeye anasema ni kweliSijazaliwa kama nyie maana mimi sikuanzia tumnoni mwa mama nilikuwepo humo nilipita tu kwa uwezo ambao hakuna mawanadamu mwingine aliyepitia huo.

Ndio maana anasema '' Nilishuka kutoka Mbinguni'' haya yote hutaki.
Yesu hawezi kuwa Mungu kwa sababu amezaliwa.

Halafu unasema kuwa ".... hakuna mwanadamu mwengine aliepitia huo" inamaana Yesu anasema yeye ni Binaadamu lakini sio sawa na binaadamu wengine 🙂
 
Kwa sababu hana baba mwanadamu, na Yule mama ni njia tu wala ukute hata DNA haziendani maana aliingia tumboni mwakd kwa uwezo nje ya ubinadamu ankutoka kisha kupaa kurudi alikotokahata sasa yuko hai anakushangaa unavyohangaika.
Mkuu Yule ndio Uhai. Uzima
rudia sasa kusoma Yohana Moja, mbona ameeleza vizuri. Tena sio kiumbe au kiumbwa ni muumba.
Huenda? Huenda pia si mungu uko hapo?
kama kutokuwa na baba wala mama pekee hakukufanyi kuwa mungu
kuwa na baba bila mama hakukufanyi kuwa mungu
vipi kuwa na mama bila baba kukufanye mungu?
 
Umekuja na hekaya tofauti kabisa na nilichokuuliza.

Umeandika mwenyewe Yesu alizaliwa pasi baba ndo maana mnamnasibisha na mamaake, nikakuuliza alizaliwaje pasi baba? No answers

Nmeuliza nani mwingine mnamu-address kwa ubin wa mama? No answers


Naona hukufikiria ndio maana,umeandik haya. Hayo maswali ni majibu ya maswali yako uliyo uliza.

Nakukumbusha jambo moja tu,katika mijadala ya kielimu unatakiwa uwe una kumbukumbu kubwa sana na uwe unafikiria kabla ya kujibu swali ili kuepuka kuonekana kuituko.


Swali lako la mwisho nimelijibu huko nyuma sikumbuki namba ya post ila kuna mtu nilimjibu.

Hivi unapouliza swali la alizaliwaje wakati huo huo ulishaambiwa amezaliwa pasi na baba ndio maana ananasibishwa kwa mama. Hivi hapa unastahiki upewe jibu gani zaidi ya kupewa jibu kwa mtindo w swali ? Ndio maana nikakujibu kwa kukuuliza kwani kati ya baba na mama nani anazaa ? Sasa kama hufikiri unapoandila au kusoma hoja za wengine hilo ni tatizo lako na udhaifu wako,unatakiwa kuwa makini.
 
Sasa kwa mantiki yako ile huoni kama Yesu hakuwa kiumbe wa kawaida kuna jambo kubwa sana juu yake?

Sababu mantiki ni fani,naomba utumie misingi ya fani ya mantiki kupata ukweli wa maneno yako ya kuwa kisa YESU amezaliwa pasi na baba basi kuna jambo kubwa sana juu yake.
 
Kuna tofauti kati ya mtu ambae hajaelewa na yule ambaye ameelewa ila bado analinda misimamo yake. Pia huwa siingii katika mijadala ya kumtafuta mshindi bali mawazo na mitazamo iliyopo sahihi. Ngoja niwaache wafu muendelee kuzikana. I'M OUT

Naona umepata funzo la kuwa usiwe unaongea story za maskani katika mijadala ya kielimu,wenzako wanasoma wewe unaleta hisia usizo weza kuzitetea ? Acha kabisa tabia ya kuhisi hisi,soma uelewe.

Tuko pamoja.
 
Kwa sababu hana baba mwanadamu, na Yule mama ni njia tu wala ukute hata DNA haziendani

Hii sentensi imeomyesha ujinga wako wa wazi. Hivi walimu wenu waliwafundisha muwe wajinga au ? Yaani jambo linaonyesha wazi kabisa hulijui lakini unalipigania. Sasa hii kauli "...ukute...." inaonyesha huna hakika kama anavinasaba vya MARIAM au la,sasa unacho bisha hapo nini ?
 
Hii sentensi imeomyesha ujinga wako wa wazi. Hivi walimu wenu waliwafundisha muwe wajinga au ? Yaani jambo linaonyesha wazi kabisa hulijui lakini unalipigania. Sasa hii kauli "...ukute...." inaonyesha huna hakika kama anavinasaba vya MARIAM au la,sasa unacho bisha hapo nini ?
Ninaandika kwa Ligha yako, nikiwa nimevaa vazi la uislam ndio maana nimesema ''ukute''. Ila Yesu alikuwa Mungu ambaye uweza wake wote wa kiungu aliupukutisha na kutoutumia badala yake alimtegemea, ndio maana hadi sasa unamtafuta baba Yake unamkosa, na unakili biologically hakuna mwanadamu aliyezaliwa bila Baba. Hivyo Huyu ni zaidi ya Mwanadamu.

Ukiacha Adam na Hawa unaowaingiza kwenye mjadala bila mantiki hao waliumbwa hawakuzaliwa, watoto wao hai sisi tunazaliwa kupitia Baba na Mama. Yesu hakuhitaji hayo maana ndiye aliyewaumba Adam na Hawa wakiwa na Baba Yake. Baba Yake Haitaji Kumzaa wotenwapo milele.
 
Sababu mantiki ni fani,naomba utumie misingi ya fani ya mantiki kupata ukweli wa maneno yako ya kuwa kisa YESU amezaliwa pasi na baba basi kuna jambo kubwa sana juu yake.
tupe mwingine wa mfano huo ili tusione jambo kubwa nyuma yake baada ya kuwalinganisha.
 
na unakili biologically hakuna mwanadamu aliyezaliwa bila Baba.

Hivi huwa huogop kusema uongo ? Nani amekiriya kuwa hakuna binadamu aliyezaliwa bila baba ?
Yesu hakuhitaji hayo maana ndiye aliyewaumba Adam na Hawa wakiwa na Baba Yake. Baba Yake Haitaji Kumzaa wotenwapo milele

Sasa Yesu mama yake nani ? Na kwanini Yesu iwe Mungu mkuu ndio baba ake ? Yaani baba ake kivipi ? Maana ubaba ni wa aina mbili :

1. Baba wa nasaba
2. Baba mlezi

Huu ubaba ake Yesu unaingia katika aina gani ?
 
tupe mwingine wa mfano huo ili tusione jambo kubwa nyuma yake baada ya kuwalinganisha.


Kutokuwa na mwingine hakumaanishi kuwa ni jambo kubwa mpaka nyinyi mkaamua kumuita Mungu.

Hivi ukitazama suala la kiumbe ambacho kipo hai mpaka muda huu mpaka itakapo karibia kiama unafikiri ni Yesu pekee ?

Lakini uhai,sio kwa Yesu bali kuna viumbe viko hai huko makaburini vinaendelea kuruzukiwa na Allah aliye juu.

Sasa sijaona hata hoja za uongo za kuwafanya nyinyi mumfanye Yesu kuwa ni mungu zaidi ya ujinga na kuchupa mipaka.
 
Huenda? Huenda pia si mungu uko hapo?
kama kutokuwa na baba wala mama pekee hakukufanyi kuwa mungu
kuwa na baba bila mama hakukufanyi kuwa mungu
vipi kuwa na mama bila baba kukufanye mungu?
najaribu kuweka huwenda ili nikusaidie kufikiri bila jazba za kidni.
Ila Yesu Kuwa Mungu hilo halina mjadala.

Mada kama hizi ni kutafuta kutoboa kona za mioyo Yenu ili mfikiri upya kwa nini Yesu na Sio Muhammad, na Bibilia na sio Quran.

Narudia tena '' Wenda'' ukajua
 
Back
Top Bottom