mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,419
- 17,761
Nimewahi kukuambia na naendelea kukusisitizia.Kwani Biblia ni kitabu kitukufu ? Je ni kitabu cha mtume gani ?
Halafu hii hoja yako dhaifu ya kutaka upewe "manuscript" ya Qur'aan nikishakujibu mara kibao lakini unaonekana umekaa kubisha bishana na si kujifunza. Nilikwambia hivi sisi tuna sanadi mpaka kufika kwa mtume,na Qur'aan tangu mtume yuko hai maswahaba walikuwa wanaihifadhi vifuani mpaka leo watu wanaihifadhi Qur'aan vifuani na elimu huenda kwa kuridhishana,leo hii mpaka kiama kinasimama hakuna hata wale walio muona Yesu walio hifadhi Injili yote vifuani,Yesu aliondoka na Injili yake.
Ajabu sasa nataka wewe uniambie iko wapi ile Injili aliyokuja nayo Yesu hata kipande cha nusu ukurasa ? Sababu Musa alikuwa na Torati,Daudi alikuwa na Zaburi. Sasa hapa ndipo utakapo kujua dhamiri ya kitabu sio mpaka kiwe cha kushikika mkononi.
Usinieletee habari za kina Luka,Mathayo,John na Marko ambao kati ya wawili hao hawakumdiriki Yesu vipi tuwaamini lwa yale wayasemayo ?
Bibilia ni mkusanyiko wa vitabu 66 vilivyoandikwa na mitume, manabii na watumishi wa Mungu walioongozwa na Roho mtakatifu wasiopungua 30.
Imeandikwa kwa kipindi cha zaidi ya miaka 1500 katika mazingira tofauritofauti kwa mfumo tofautitofauti mfano mashairi, mithali, hadithi, unabii, masimumulizi, etc. Quran ni kitabu kimoja tu ambacho kinataka kufuta kazi njema aliyoiasisi Mungu kwa miaka zaidi ya 1500 wakati chenyewe kikibaki kinaacha shaka jingi na kubwa sana hata uhalalinwa uwepo wake na mamlaka yake kama inatokana nanMungu maana kinapingana na Mungu aliyeongea na watu mbalimbalia miaka zadi ya 4000.
Hilo hoja ya Quran, ntaomba niianzishie mada tuchimbe kwa kina, nitakutag ila uje na hoja usije na evidenceless arguments. Kama ulikuwa unacopy na kupaste zile articles za ELEMA anza kusoma. Ila ukiniruhusu na kamamukiwa tayari kujifunza.
Kwa sasa naomba ushahidi wa huo mnyororo wakati kama ulikuwa ujui chanzo cha kuandika quran ilikuwa ni baada ya kila mtu kuwa anasema lake. hadi leo kila mmoja anatafsiri lwake.