Asante kwanza kwa kukubali kuwa Bibilia ipo hata kabla ya hiyo nicea.
lkn ilikuwa imesambaa uncontrollably duniani kote wakati huo.
Pia sio kila mwenye Bibilia alihusishwa lkn wote walibaki wanaamini maneno yaleyale.
Huko nicea unakopapenda.
View attachment 1146446ka tu kuwa zile inili nne ndizo ambazo zipo tangu karne ya kwanza, na mengine yote ni fabrication. Pia hata wasingekaa hapo, Uthibitisho huo ulishafanyika siku nyingi 200AD kupitia hiyo nimekuwekea attachment Muratonian flagment iliyothibitisha maneno wanayoamini ndiyo yaliyoaminiwa na wakristoawali na injili zile nne ndio zilezile hadi kesho.
Hii haikuhitaji Nicea maana zilikuwepo na ziliaminika siku zote. Wale walikuwa na mambo mengine mengi tu na kupambana na uzushi mwingi wa wakati wao.
Naomba Source ya maelezo ya swahaba.
Sababu ninayojua miongoni mwao ni kuwepo kwa watu kubishana kuhusu walivyovikariri. Kila mtu anasema lake. Leta source mkuu kapa ipo lkn.