Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Salamu kwenu wanajamii. Rejea kichwa cha mada hapo juu.

Dhumuni la mada hii ni kupeana elimu na kuelimishana juu ya matumizi ya jina hili kutotumika kwetu (wakristu / wakristo).
 
Sorry..! the name u call, Yesu is not reachable but Issa is reachable (in tigo customer care's voice)
 
Sijaelewa mpaka hapo au ni kwa sababu ya mtoa mada kutoelewa au kutaka kujifunza.
....
Maana jina Jesus/Yesu mbona linatumika sana kwa wakristo!
Nadhani wadau wameanza kukupa orodha hapo juu.
 
Yesu na Issah n watu 2 tifauti..... soma jinsi yesu alivyo zaliwa alafu soma jinsi nabii issa alivyo zaliwa ni tifauti
Hiyo mimi naichukulia kama kuhitilafiana kimitazamo tu lakini kitu kilekile. Kama ambavyo RC huwa wanahitilafiana kifikra, mapokeo, tafsiri, mienendo nk dhidi ya wenzao wa KKKT basi ndivyo Sunni, Shia nk huwa wanatofautiana kifikra, mitazamo, tafsiri, uelewa, upambanuzi.

Dhana hiyo ya tofauti ndani ya dini moja, basi uichukue katika vast spectrum ya mitazamo, tafsiri, mapokeo ya dini kwa dini katika kuabudu, kuita watu majina nk. Kwa mfano: Ibrahim, Musa, Yusufu, Jibril, Isahac, Mariam huitwa Abraham, Moses(Mussa pia), Gabriel, Joseph(Yusufu pia/Yosef), Isac, Mary(Maria), lakini pia mitazamo ya majina ya watu hao ilipokelewa au kutafsiriwa kwa mapokeo tofauti kati ya dini hii dhidi ya ile, dhehebu hili dhidi ya lile nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu na Issah n watu 2 tifauti..... soma jinsi yesu alivyo zaliwa alafu soma jinsi nabii issa alivyo zaliwa ni tifauti
Yaani hoja yako inataka kujikita kwenye masuala ya kidunia kama kuzaliwa chini ya mtende/zizi la kondoo badala ya kujikita kwenye masuala ya kiroho?!

Kwa mfano, wakati Ukristo unadai Yesu alizaliwa bila Mariamu kuingiliwa na mwanaume, na ndivyo hivyo hivyo madai ya Quran... hali inayoonesha ufalme wa Mungu katika kufanya atakalo!!

Hivi hudhani jambo kama hilo ndilo muhimu zaidi kuliko dhana ya wapi Jesus alizaliwa?!

Kwamba, wakati both Bible na Quran zinadai Yesu/Issa alifanya miujiza kama ya kufufua watu... hudhani hilo ndo jambo la msingi zaidi kuliko kujaribu kuhalalisha/kupinga kwa kutumia dhana ya wapi alizaliwa (walizaliwa?)?
 
Mtume, wake zake, rafiki zake wote na waislam wote huitwa kwa ubin Wa baba. Hata wote kwenye taurat,zabur,injil, hakuna anayetumia jina la mama.
Mfano Juma Bin Said.

Kwa nini Sio Issa Bin Yusufu?

Je mnakubali kisirisiri kuwa Yesu ni Mungu aliyekuja kupitia Marian na sip trndo la ndoa kati ya Mariam na Yusufu?


UPDATES
Tumegundua Yesu hakuwa na Baba Binadamu. Tumegundua Yesu hakuanzia Tumboni mwa Mariam ila alipitia Tumboni mwa Mariam. Waislam wako sahihi Kumuita Issa Bin Mariam ila watakuwa sahihi saizi wakimuita Mwana Wa Mungu ambaye ni Mungu.
 
Back
Top Bottom