Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unapenda kuujulisha umma kuwa umefikia makubaliano na kampuni ya Azam marine kutoa huduma ya kuvusha abiria baina ya Magogoni na Kigamboni ili kuendelea kuwapa wananchi huduma ya uhakika wakati huu Wakala ukiendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake.
Aidha Wananchi wanashauriwa kuacha kutumia mitumbwi ili kulinda usalama wao.
PICHA: Boti za Azam Marine zikiwa zimeanza kazi ya kuvusha abiria
Aidha Wananchi wanashauriwa kuacha kutumia mitumbwi ili kulinda usalama wao.
PICHA: Boti za Azam Marine zikiwa zimeanza kazi ya kuvusha abiria