Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,552
Waislamu, Waarabu na Wazanzibari hakikisheni mnatumia vyema fursa za awamu hii.
Serikali hawawezagi kufanya biasharaHivi Temesa kuna mtu mwenye ubongo kweli? Maana kwanza ncheke ..
Vipi kuhusu magari mkuu?Zipo mbili zinabeba abiria zaidi ya mia moja dakika tatu tu umeshavuka
Tatizo ni nchi kukosa vipaumbele.Mimi binafsi nimejiskia aibu. Mtu binafsi kuwa na huduma nzuri kuliko serikali inayochukua kodi kila kona
Jamaa wanataengeneza mazingira ya kupiga pesa vizuri hapoDar es Salaam. Ili kuendelea kuwapa wananchi huduma huduma ya uhakika, kwenye safari za Magogoni na Kigamboni Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Tamesa) imefikia makubaliano na kampuni ya Azam marine ya kuvusha abiria.
Siku za hivi karibuni wananchi wanaokaa Kigamboni na vitongoji vyake, walipata adha ya usafiri baada ya kivuko cha Mv Magogoni kuharibika na kushindwa kufanya safari zake kama ilivyo kawaida.
Hali hiyo ilisababisha kivuko cha MV Kigamboni kuelemewa na abiria walikuwa wakivuka kutoka upande mmoja kwenda upande wa pili, huku wakijazana, ambapo magari yakizuiliwa kuvuka kutokana na kivuko hicho kuwa kidogo.
Taarifa iliyotolewa leo Jumatatu Juni 13, 2022 na kitengo cha masoko na uhusiano Tamesa imeeleza kuwa, imefikia makubaliano na kampuni hiyo wakati wakiendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake.
Aidha katika taarifa hiyo Tamesa imewashauri wananchi kuacha kutumia mitumbwi ili kulinda usalama wao.
Source: Mwananchi
Unakuta unaenda kuzindua mrandi wa milioni 2 lakini gharama za magari na posho milioni 50 ni ufisadi mkubwaTatizo ni nchi kukosa vipaumbele.
Mwenge unakimbuzwa kwa mabilioni ya pesa huku watu hawana kivuko.
Kwani kile Kivuko kilichogeuzwa meli ya kivita kiko wapi kitumike wakati huu wa dharura?Jamaa wanataengeneza mazingira ya kupiga pesa vizuri hapo
Kilikuwa kibovu kilishapaki hapo zilipigwa zaidi ya 70B mkuu na hakuna kuhojiKwani kile Kivuko kilichogeuzwa meli ya kivita kiko wapi kitumike wakati huu wa dharura?
Jamaa lengo lao ni kupiga pesa haswaOndoeni tozo kwenye daraja la kigamboni ili magari yapite free.......ni uwekezaji gani huo mliofanya ambao pesa hairudi tangu mmeanza kuokota?
Lile tambiko muulize Mshana Jr na bila matambiko maisha ya mtu mweusi uwa ni tafraniTatizo ni nchi kukosa vipaumbele.
Mwenge unakimbuzwa kwa mabilioni ya pesa huku watu hawana kivuko.
Yaa, ni kama wamenogewa vile..Jamaa lengo lao ni kupiga pesa haswa
Hakuna anayewaza kunufaisha jamii zaidi ya kupiga pesa za wananchiYaa, ni kama wamenogewa vile..