TEMESA wakubaliana na Azam Marine kuvusha abiria Kigamboni (Ferry)

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,758
4,305
Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unapenda kuujulisha umma kuwa umefikia makubaliano na kampuni ya Azam marine kutoa huduma ya kuvusha abiria baina ya Magogoni na Kigamboni ili kuendelea kuwapa wananchi huduma ya uhakika wakati huu Wakala ukiendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake.

Aidha Wananchi wanashauriwa kuacha kutumia mitumbwi ili kulinda usalama wao.

1655128871285.png



PICHA: Boti za Azam Marine zikiwa zimeanza kazi ya kuvusha abiria
A1.jpg
A2.jpg



 
Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unapenda kuujulisha umma kuwa umefikia makubaliano na kampuni ya Azam marine kutoa huduma ya kuvusha abiria baina ya Magogoni na Kigamboni ili kuendelea kuwapa wananchi huduma ya uhakika wakati huu Wakala ukiendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake.

Aidha Wananchi wanashauriwa kuacha kutumia mitumbwi ili kulinda usalama wao.
1655137208110.png
 
Ikiwezekana wabinafsishe tu kile kitengo cha Ferry zote Tanzania nzima...na wafanyakazi wake warudishwe tu ofisini wasubiri mshahara mwisho wa mwezi wa 800k

Huwa watu wanaiba mpaka operation cost zinailemea Serikali, Mfano pale Kigamboni in most time zile ferry zinarun na 2 engines baadala ya nne... hivi hela ya mafuta inaingizwa ya engine mbili kweli kwenye hesabu?.... one engine inakuwa port side mbele na other engine inakuwa starboard side nyuma....with one engines in every position cancelled...
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom