Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,837
Wanavuka kwa 200 au mafuta yamepanda bei
Kwa hyo wameshindwa kabsa kutengeneza mv kazi... ??Mpka wanampa tenda azam..
watakuwa nao ila memory ndogo kama ya kuku!Hivi Temesa kuna mtu mwenye ubongo kweli? Maana kwanza ncheke ..
Naomba utukumbushe vizuri, hao Waarabu walitoka nchi gani?Nakumbuka waarabu walipewa tren ya kati 2010 matokeo yake yalikuwa mabaya sana
Wala huhitaji afisa masoko au matangazo, Ni Kama tanesco tu wako wenyewe Lakini biashara inasuasua!Mradi wa ferry una wateja wa uhakika kila saa kuna nyomi sijui serikali wanashindwa vipi biashara kama hizi.
Ni sawa na Tanesco tu wateja kila eneo lakini wanajiendesha kwa hasara.
Chukua serengeti lite apo Kisuma bar umwagilie moyo nakuja kulipaCCM huu mradi mdogo wa hapo Ferry unawashinda, siamini kama mna akili za kutengeneza mazingira ya raia milioni 65 waweze kujikomboa kwenye umasikini, mpeni azam moja kwa moja ausimamie muone jinsi watu wenye akili timamu watakavyo toa huduma. Nyinyi ni wehu hamko timamu
Deal Done wanasemaga waarabuWakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unapenda kuujulisha umma kuwa umefikia makubaliano na kampuni ya Azam marine kutoa huduma ya kuvusha abiria baina ya Magogoni na Kigamboni ili kuendelea kuwapa wananchi huduma ya uhakika wakati huu Wakala ukiendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake.
Aidha Wananchi wanashauriwa kuacha kutumia mitumbwi ili kulinda usalama wao.
View attachment 2259522
PICHA: Boti za Azam Marine zikiwa zimeanza kazi ya kuvusha abiria
View attachment 2259723View attachment 2259724
culture ya CCM ni ujinga, ufisadi na umaskini tuuMradi wa ferry una wateja wa uhakika kila saa kuna nyomi sijui serikali wanashindwa vipi biashara kama hizi.
Ni sawa na Tanesco tu wateja kila eneo lakini wanajiendesha kwa hasara.
Natamani aje mtu waserikali akanushe hii comment.Kipindi cha JK alitusaidia sana huyu bwana kulipa mishahara wafanyakazi wa serikali baada ya sisi serikali kuchemsha. Kwa sasa anatusaidia tena kutubebea wananchi baada ya sisi serikali kazi kutushinda.
Mishahara ikitushinda tena kulipa tutamrudishia hili jukumu huyu bwana bakhresa.
Zipo mbili zinabeba abiria zaidi ya mia moja dakika tatu tu umeshavukaKinabeba watu wangapi hiko kiboti cha AZAM na zipo ngapi..?