TEMESA wakubaliana na Azam Marine kuvusha abiria Kigamboni (Ferry)

Dar es Salaam. Ili kuendelea kuwapa wananchi huduma huduma ya uhakika, kwenye safari za Magogoni na Kigamboni Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Tamesa) imefikia makubaliano na kampuni ya Azam marine ya kuvusha abiria.
mesa imewashauri wananchi kuacha kutumia mitumbwi ili kulinda usalama wao.

Source: Mwananchi
Wenye akili tumesha jua kuwa kilialibiwa makusudi ili muarabu apate nafasi kwa kuvusha watu na kuchukua pesa
 
Mimi binafsi nimejiskia aibu. Mtu binafsi kuwa na huduma nzuri kuliko serikali inayochukua kodi kila kona
Ni hujuma inayo fanya na watu binafsi kwa kushirikiana na watu serikalini ....hicho kivuko kimearibiwa makusudi
 
Mm naamini serikali haijamua tu kulivalia njuga ila sio mbaya katika mambo yaliyofanya niisipende kigamboni ni kivuko inaweza kuwa Dawa aisee kwenye hili.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 

Mzilankende Angewafurusha Temesa Haraka Yaani Wapo Ofisini Kivuko Kibovu

 
Uadilifu ni kitu muhimu sana...kinachofanyika hapa ni kuingiza sekta binafsi katika vivuko...wataingia na Gia ya kusaidia wakishafanikiwa tutaanza kupambana nao kwenye kiwango cha nauli...vivuko ni huduma na bei zake ni za huduma siyo kutengeneza faida
 
Bakharesa ni habari nyingine ktk investment, niliwah kusikia alivyo kwenda kuwekeza ktk nchi fulan ndogo hapa EAC, eti walimpa masharti lzm lori zake ziwe ni Benzi na madereva wawe toka iyo nchi ..

Basi nasikia na yy hakufanya ajizi akawapa ile kitu roho yao ilikuwa ina penda, sasa iv nasikia ndio amekamata iyo nchi in term of business anazamin mpaka ligi ya mpira wa miguu wa iyo nchi
 
Bakharesa ni habari nyingine ktk investment, niliwah kusikia alivyo kwenda kuwekeza ktk nchi fulan ndogo hapa EAC, eti walimpa masharti lzm lori zake ziwe ni Benzi na madereva wawe toka iyo nchi ..

Basi nasikia na yy hakufanya ajizi akawapa ile kitu roho yao ilikuwa ina penda, sasa iv nasikia ndio amekamata iyo nchi in term of business anazamin mpaka ligi ya mpira wa miguu wa iyo nchi
Hiyo nchi ina hisa kwenye kampuni ya Benz, naomba kujua kwanini walitoa hilo sharti
 
Hii nchi tunateseka sana, umpe mwekezaji halafu wewe itengeneze zipone ndo urudi kutoa huduma?? Dah, nchi inapotea,hiyo Magogoni ndo itakuwa imetoweka kiivo tena, mwekezaji yuko tayari kuhujumu hiyo Magogoni isipipone abadani, mtaniambia siku moja
 
Hii nchi tunateseka sana, umpe mwekezaji halafu wewe itengeneze zipone ndo urudi kutoa huduma?? Dah, nchi inapotea,hiyo Magogoni ndo itakuwa imetoweka kiivo tena, mwekezaji yuko tayari kuhujumu hiyo Magogoni isipipone abadani, mtaniambia siku moja
Kufanya muwekezaji wala sio kosa,sisi tunachohitaji ni huduma na serikali ipate mapato basi,kwanza siyo jukumu la serikali kufanya biashara,wanatakiwa watuwezeshe wananchi tufanye,siyo lazima bakhresa tu hata ww kama unawezo wa kuleta kivuko bora upeleke mkashindane na bakhresa,sisi tutakachoangalia ni kuvuka kwa haraka na kwa usalama! TEMESA wabaki kusmamia ubora na usalama wetu sisi raia
 
Back
Top Bottom