mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,507
- 2,832
Mm naunga mkono wawekezaji wenye nia njema,uzuri wa bakhresa hana janja janja kwenye biashara zake,anapata faida kwa kuzingatia ubora wa bidhaa zake,mi sijakutana na mtu analalamikia ubora wa bidhaa zake,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,tukiwakataa wazawa ambao wameajiri ndugu zetu mnataka muwekezaji atoke nchi gani??Bakharesa ni habari nyingine ktk investment, niliwah kusikia alivyo kwenda kuwekeza ktk nchi fulan ndogo hapa EAC, eti walimpa masharti lzm lori zake ziwe ni Benzi na madereva wawe toka iyo nchi ..
Basi nasikia na yy hakufanya ajizi akawapa ile kitu roho yao ilikuwa ina penda, sasa iv nasikia ndio amekamata iyo nchi in term of business anazamin mpaka ligi ya mpira wa miguu wa iyo nchi
Kama anaweza apeww jumla apeww guarantee ya soko ili aletw vivuko vya uhakika,kwa sasa hawez kuinvest sababu vivuko siyo andazi kwamba ukishindwa kuliuza utalitafuna mwenyewe,kivuko unaleta uwe na uhakika wa biashara