Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Nami Niko Chizi Wa Bastola Kama Nini Nilipata Kwenda .................jeshini Kuangaliaa Bastola Wanazo Nzuri Sana (mzinga)wanazo Bomba Fanya Upate Muda Upite Pale..makao Makuu Wizara Ulinzi Ndio Mlango Wakuingilia
 
Nami Niko Chizi Wa Bastola Kama Nini Nilipata Kwenda .................jeshini Kuangaliaa Bastola Wanazo Nzuri Sana (mzinga)wanazo Bomba Fanya Upate Muda Upite Pale..makao Makuu Wizara Ulinzi Ndio Mlango Wakuingilia

Ila usiende umevaa jinsi au kaptula, watakubalasa maana pale ni wizarani pale. Inabidi uwe smart

Bubu,

Bei ya bastola bongo inaanzia Tzs. 600,000 ila hizi ni zile za 7 mm,vidogodogo hivi.Vinafaa sana kwa akina mama na watu wanaogopa kutoka sugu kiunoni. Ila ukitaka mitambo ya kuanzia 9mm inaanzia kama Tzs. 800,000 mpaka Tzs.1.5 Million, inategemea inatoka wapi(za bei rahisi ni za kutoka Yugoslavia), ubora na inachukua risasi ngapi.
 
nikisoma hapa ktk hii thread ninapata wazo moja tu....
uhalifu umeongezeka na dola imeshindwa kuwalinda raia na watu wake so tunabidi kujilinda wenyewe....
ila mhhhh!!!! kwa nchi inayofuka moshi kama yetu hizi mbio za kukimbilia miguu ya kuku ni dalili ya nini tena? tumechoka?

enewei kwa kuwa sina uwezo naomba kuelekezwa wanapouza kombeo au manati kama zile za mashariki ya kati (israeli)
 
Detroit nini wewe...mambo yote ATL....tunaruhusiwa kuingia restaurant na bastola...


duh.. nyie wakali kweli hadi bastola kwenye restauranti! sisi hapa tunabeba "concealed" weapons... hadi wapi.. the end is your imagination.. tunaaingia nazo hadi church! Na kwa vile tuna permits hizo neno "ruhusa mpaka" halipo. Mahali ambapo inakuwa kasheshe kidogo kuingia nazo ni mahakamani na kwenye mashule... kwingine kote fair game...
 
...aarrgh, eti kuingia na bastola kanisani na kwenye marestaurants tu... sisi huku kwetu tunaruhusiwa kubeba bastola hadi makaburini kwenye mazishi!!
 
  • Thanks
Reactions: R.K
Lakini naona tumesahau magobole, maana wale watundu wanotengeneza inabidi wasaidiwe iwe ajira kamili.

Inakuwa wanatengeneza magobole ya kutosha na serikali kupitia hao ma-dealers wanazinunua.

Hivi bado magobole yanatengenezwa Tanzania?
 
Unamsuspect mkeo nini? hatutaki uwe na murder case, enzi za ujambazi wa kujikinga kwa bastola ilikuwa 2004-6, pametulia so worry not. vinginevyo nenda ultimate security wanakupatia security systems za kisasa kabisa, huna haja ya kuwa na bastola.


wajemeni eeh

kuuliza si ujinga na kuuliza njia ndio kujua njia!

... nahitaji bastola, kwa self defence tu, si vinginevyo! Sababu; najiona vulnerable mno huko 'uswekeni' ninakoishi. Hamna umeme, na majirani wanahesabika, BTW, practicing targets zipo za kutosha huko!

Najua humu kuna wengi tu wanaomiliki silaha kikazi, na wanaomiliki silaha kwa sababu kama zangu mie,..tatizo sijui "a" wala "be" nianzie wapi, meaning sheria na taratibu zikoje Bongo kumiliki silaha, hivi kuna duka la silaha Bongo?

wapi?

mfano; nikipata semi auto M92 Beretta yenye uwezo wa rounds 12 au 15 inatosha, au kuna 'limit' ya silaha ya aina gani naruhusiwa kuwa nayo? natamani kuagiza nje lakini nahofia nisijebanwa na sheria za uingizaji silaha...
 
Unamsuspect mkeo nini? hatutaki uwe na murder case,


...umejuaje? :D tena alivyo mrembo na hawa majirani wasoisha kujipitisha na "bibie upo? salamaleko!" nyiiiingi utadhani tupo uwanja wa saba saba! Ngoja niupate tu huo 'mguu wa kuku', nitaweka kigoda changu pale pale getini, jioni nausafisha kwa mafuta waziwazi! (joke)


enzi za ujambazi wa kujikinga kwa bastola ilikuwa 2004-6, pametulia so worry not. vinginevyo nenda ultimate security wanakupatia security systems za kisasa kabisa, huna haja ya kuwa na bastola.

...No way, wengine tunaishi nje ya mji, hao ultimate security mpaka waje saa ngapi,...si unajua zile za kuwekewa magogo njiani, au unafika tu getini, jamaa wanakushusha wewe na familia yako... bado zipo hizo. Hakuna balaa kubwa kama kuingiliwa ndani, halafu mkeo na binti yako wanabakwa 'live', nawe umejikunyata na msuli wako tu pembeni, kisa, 'wababe' wamekuja na gobore moja tu!

Oh, mungu tunusuru!
 

...umejuaje? :D tena alivyo mrembo na hawa majirani wasoisha kujipitisha na "bibie upo? salamaleko!" nyiiiingi utadhani tupo uwanja wa saba saba! Ngoja niupate tu huo 'mguu wa kuku', nitaweka kigoda changu pale pale getini, jioni nausafisha kwa mafuta waziwazi! (joke)




...No way, wengine tunaishi nje ya mji, hao ultimate security mpaka waje saa ngapi,...si unajua zile za kuwekewa magogo njiani, au unafika tu getini, jamaa wanakushusha wewe na familia yako... bado zipo hizo. Hakuna balaa kubwa kama kuingiliwa ndani, halafu mkeo na binti yako wanabakwa 'live', nawe umejikunyata na msuli wako tu pembeni, kisa, 'wababe' wamekuja na gobore moja tu!

Oh, mungu tunusuru!

pole sana, ndio matatizo ya kuwakomalia mamiss muwaweke ndani, sie manerd hata salamu hatupati mzee anajinafasi kipweke-pweke.

Ongea vizuri na watu wa security, wataweza kukusaidia. Hiyo mambo ya bastola inataka uzoefu na sijui hata JKT kama ulipita; usijejishut bure hao vibaka wakubwa wakijakukutembelea, Mungu akuepushe nao.
 
pole sana, ndio matatizo ya kuwakomalia mamiss muwaweke ndani, sie manerd hata salamu hatupati mzee anajinafasi kipweke-pweke.


...Mid-aged!, u miss ulishampita. Sasa poda tu kwa wingi, kujifukiza, na khanga za mafumbo! mwanamke wa pwani wala hana kuji 'tune' sana, ushauri wa bure; usiache Gym na aerobics za hapa na pale, kina mama wengi wanajisahau na kupoteza mvuto wakishawekwa ndani!


Ongea vizuri na watu wa security, wataweza kukusaidia. Hiyo mambo ya bastola inataka uzoefu na sijui hata JKT kama ulipita; usijejishut bure hao vibaka wakubwa wakijakukutembelea, Mungu akuepushe nao.


...Ameen, dua zako ziwe za kheri inshaallah!
 
Back
Top Bottom