Nami Niko Chizi Wa Bastola Kama Nini Nilipata Kwenda .................jeshini Kuangaliaa Bastola Wanazo Nzuri Sana (mzinga)wanazo Bomba Fanya Upate Muda Upite Pale..makao Makuu Wizara Ulinzi Ndio Mlango Wakuingilia
Njoo Detroit.. I'll hook you up, sisi tuna vibali tena vya kubeba concealed weapons... process haichukui siku tatu...
Detroit nini wewe...mambo yote ATL....tunaruhusiwa kuingia restaurant na bastola...
...aarrgh, eti kuingia na bastola kanisani na kwenye marestaurants tu... sisi huku kwetu tunaruhusiwa kubeba bastola hadi makaburini kwenye mazishi!!
SteveD.. sidhani kama unahitaji bastola hadi makaburini.. they are already dead...
wajemeni eeh
kuuliza si ujinga na kuuliza njia ndio kujua njia!
... nahitaji bastola, kwa self defence tu, si vinginevyo! Sababu; najiona vulnerable mno huko 'uswekeni' ninakoishi. Hamna umeme, na majirani wanahesabika, BTW, practicing targets zipo za kutosha huko!
Najua humu kuna wengi tu wanaomiliki silaha kikazi, na wanaomiliki silaha kwa sababu kama zangu mie,..tatizo sijui "a" wala "be" nianzie wapi, meaning sheria na taratibu zikoje Bongo kumiliki silaha, hivi kuna duka la silaha Bongo?
wapi?
mfano; nikipata semi auto M92 Beretta yenye uwezo wa rounds 12 au 15 inatosha, au kuna 'limit' ya silaha ya aina gani naruhusiwa kuwa nayo? natamani kuagiza nje lakini nahofia nisijebanwa na sheria za uingizaji silaha...
But what if something was to go down...?
nothing.. its already dead..!
...haven't you ever seen a ghetto funeral...? there is always gun play....
not in the D.. you pull out a piece... somebody got two plus the chekeche...
Unamsuspect mkeo nini? hatutaki uwe na murder case,
enzi za ujambazi wa kujikinga kwa bastola ilikuwa 2004-6, pametulia so worry not. vinginevyo nenda ultimate security wanakupatia security systems za kisasa kabisa, huna haja ya kuwa na bastola.
...umejuaje? tena alivyo mrembo na hawa majirani wasoisha kujipitisha na "bibie upo? salamaleko!" nyiiiingi utadhani tupo uwanja wa saba saba! Ngoja niupate tu huo 'mguu wa kuku', nitaweka kigoda changu pale pale getini, jioni nausafisha kwa mafuta waziwazi! (joke)
...No way, wengine tunaishi nje ya mji, hao ultimate security mpaka waje saa ngapi,...si unajua zile za kuwekewa magogo njiani, au unafika tu getini, jamaa wanakushusha wewe na familia yako... bado zipo hizo. Hakuna balaa kubwa kama kuingiliwa ndani, halafu mkeo na binti yako wanabakwa 'live', nawe umejikunyata na msuli wako tu pembeni, kisa, 'wababe' wamekuja na gobore moja tu!
Oh, mungu tunusuru!
pole sana, ndio matatizo ya kuwakomalia mamiss muwaweke ndani, sie manerd hata salamu hatupati mzee anajinafasi kipweke-pweke.
Ongea vizuri na watu wa security, wataweza kukusaidia. Hiyo mambo ya bastola inataka uzoefu na sijui hata JKT kama ulipita; usijejishut bure hao vibaka wakubwa wakijakukutembelea, Mungu akuepushe nao.