Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Kwanza ukapimwe akili muhimbili, record ya uwendawazimu na uthibitisho kuwa huna wagonvi usije ukaenda kulipiza kisasi.
Sasa wewe ndugu, kuingia na silaha nchini sio shida, utatokaje nayo huko uliko? Ukiweza kutoka nayo tu, kuingia itawezekana.
Kama upo DRC au Burundi si unakatiza tu kwa mguubunaingia nayo halafu jamaa wakikukamata jina lako linabadilika kuwa jambazi.
Sasa wewe ndugu, kuingia na silaha nchini sio shida, utatokaje nayo huko uliko? Ukiweza kutoka nayo tu, kuingia itawezekana.
Kama upo DRC au Burundi si unakatiza tu kwa mguubunaingia nayo halafu jamaa wakikukamata jina lako linabadilika kuwa jambazi.