Polisi: Askari ana haki ya kutumia Silaha ili kujilinda

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
JESHI la Polisi nchini, limewataka watu wanaojichukulia sheria mkononi kwa kuwashambulia askari wanaobeba siliha kuacha tabia hiyo mara moja kwani sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kwa ajili ya kulinda uhai wake, uhai wa mtu mwingine na mali binafsi na za serikali.

Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ambapo amesema Askari Polisi wanapotekeleza majukumu yao wameruhusiwa na sheria kubeba silaha ili waweze kulinda Maisha ya watu na mali zao, kulinda Maisha yao na mali za serikali ikiwepo hiyo silaha.

“kumejitokeza mtindo wa baadhi wa watu ambao wamevunja sheria na wakati mwingine wanatenda uhalifu wa kujichukulia sheria mkononi, wanawashambulia askari akiwa amebeba silaha”

“Jeshi la Polisi linawataka watu wa aina hiyo kuacha hiyo tabia kwani askari ni binadamu kama binadamu mwingine na sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kulinda uhai wake, wa mtu mwingine na mali za mtu huyo na za serikali,” imeeleza taarifa hiyo.

NIPASHE
 
Na sisi wananchi tunawataka asikari kuacha tabia ya kubeba bunduki bila ya kuvaa magwanda. Bunduki ni mojawapo ya uniform, kitendo cha kubeba bunduki bila uniform kinatuchanganya na kututanyafa tusione tofauti kati ya majambazi na Askari.
 
JESHI la Polisi nchini, limewataka watu wanaojichukulia sheria mkononi kwa kuwashambulia askari wanaobeba siliha kuacha tabia hiyo mara moja kwani sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kwa ajili ya kulinda uhai wake, uhai wa mtu mwingine na mali binafsi na za serikali.

Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ambapo amesema Askari Polisi wanapotekeleza majukumu yao wameruhusiwa na sheria kubeba silaha ili waweze kulinda Maisha ya watu na mali zao, kulinda Maisha yao na mali za serikali ikiwepo hiyo silaha.

“kumejitokeza mtindo wa baadhi wa watu ambao wamevunja sheria na wakati mwingine wanatenda uhalifu wa kujichukulia sheria mkononi, wanawashambulia askari akiwa amebeba silaha”

“Jeshi la Polisi linawataka watu wa aina hiyo kuacha hiyo tabia kwani askari ni binadamu kama binadamu mwingine na sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kulinda uhai wake, wa mtu mwingine na mali za mtu huyo na za serikali,” imeeleza taarifa hiyo.

NIPASHE
Misime unaandaa nini kwani ebu weka wazi tu maana upo jukwaani humu, haya mazingira unayoandaa ni kwaajili ya operesheni gani? Uchaguzi???!
 
JESHI la Polisi nchini, limewataka watu wanaojichukulia sheria mkononi kwa kuwashambulia askari wanaobeba siliha kuacha tabia hiyo mara moja kwani sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kwa ajili ya kulinda uhai wake, uhai wa mtu mwingine na mali binafsi na za serikali.

Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ambapo amesema Askari Polisi wanapotekeleza majukumu yao wameruhusiwa na sheria kubeba silaha ili waweze kulinda Maisha ya watu na mali zao, kulinda Maisha yao na mali za serikali ikiwepo hiyo silaha.

“kumejitokeza mtindo wa baadhi wa watu ambao wamevunja sheria na wakati mwingine wanatenda uhalifu wa kujichukulia sheria mkononi, wanawashambulia askari akiwa amebeba silaha”

“Jeshi la Polisi linawataka watu wa aina hiyo kuacha hiyo tabia kwani askari ni binadamu kama binadamu mwingine na sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kulinda uhai wake, wa mtu mwingine na mali za mtu huyo na za serikali,” imeeleza taarifa hiyo.

NIPASHE
sio polisi tu, mtu yeyote una haki ya kutumia silaha ili kujilinda, ila kujilinda huko hakutakiwi kuzidi nguvu inayotoka upande wa pili. sio mwendako anakuja na fimbo ya kawaida tu na unao uwezo kukimbia kuepusha shari, wewe unampiga na bunduki au unamrushia mkuki tumboni. utajuta na manslaughter. mapolisi wengi tu wapo gerezani huku waliua watu kwa kutumia nguvu ilivyozidi kipimo (excessive force).
 
Na sisi wananchi tunawataka asikari kuacha tabia ya kubeba bunduki bila ya kuvaa magwanda. Bunduki ni mojawapo ya uniform, kitendo cha kubeba bunduki bila uniform kinatuchanganya na kututanyafa tusione tofauti kati ya majambazi na Askari.
Ant robbery anavaae uniform Sasa ujuaji
 
JESHI la Polisi nchini, limewataka watu wanaojichukulia sheria mkononi kwa kuwashambulia askari wanaobeba siliha kuacha tabia hiyo mara moja kwani sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kwa ajili ya kulinda uhai wake, uhai wa mtu mwingine na mali binafsi na za serikali.

Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ambapo amesema Askari Polisi wanapotekeleza majukumu yao wameruhusiwa na sheria kubeba silaha ili waweze kulinda Maisha ya watu na mali zao, kulinda Maisha yao na mali za serikali ikiwepo hiyo silaha.

“kumejitokeza mtindo wa baadhi wa watu ambao wamevunja sheria na wakati mwingine wanatenda uhalifu wa kujichukulia sheria mkononi, wanawashambulia askari akiwa amebeba silaha”

“Jeshi la Polisi linawataka watu wa aina hiyo kuacha hiyo tabia kwani askari ni binadamu kama binadamu mwingine na sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kulinda uhai wake, wa mtu mwingine na mali za mtu huyo na za serikali,” imeeleza taarifa hiyo.

NIPASHE
Raia mjipange nyie kenge askari hachezewi na wale waliompa kipigo Cha mbwa koko mwenzetu kule Sumbawanga tutawqfanya mbaya
 
Ukiwa na silaha,na ukazinguliwa na raia,angalia mazingira ya happy ulipo,ndo uamue kutumia au kutotumia silaha.Ukitumia silaha wakati watu ni wengi kuliko, absolutely utauawa wewe askari.Take care afande.Hata hivyo mnasemwa kua hamlipwi inavyotakiwa,ntashangaa raia anakuvamia na kukupa kipondo,halafu usimuadabishe.
 
JESHI la Polisi nchini, limewataka watu wanaojichukulia sheria mkononi kwa kuwashambulia askari wanaobeba siliha kuacha tabia hiyo mara moja kwani sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kwa ajili ya kulinda uhai wake, uhai wa mtu mwingine na mali binafsi na za serikali.

Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ambapo amesema Askari Polisi wanapotekeleza majukumu yao wameruhusiwa na sheria kubeba silaha ili waweze kulinda Maisha ya watu na mali zao, kulinda Maisha yao na mali za serikali ikiwepo hiyo silaha.

“kumejitokeza mtindo wa baadhi wa watu ambao wamevunja sheria na wakati mwingine wanatenda uhalifu wa kujichukulia sheria mkononi, wanawashambulia askari akiwa amebeba silaha”

“Jeshi la Polisi linawataka watu wa aina hiyo kuacha hiyo tabia kwani askari ni binadamu kama binadamu mwingine na sheria inamruhusu kutumia silaha hiyo kulinda uhai wake, wa mtu mwingine na mali za mtu huyo na za serikali,” imeeleza taarifa hiyo.

NIPASHE
Na raia je, na wao wana haki ya kutumia silaha zao wanaposhambuliwa na police?
 
Upuuz ile sheria ya kusema raia apigwe shaba kuanzia kiunon kushuka chn mmechoka sasa mnamruhusu askar kuua bila kujar sheria. Oy Wana 2025 kuwen makn mta dead kmy kmy
 
Back
Top Bottom