Ni shaka na hii biashara inabidi kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kununua
 
Hii nyumba naifaham . ni zaidi ya miaka 10 anatafutwa mteja hapatikani. wapangaji nao wakiingia hawakai hata week wanakimbia. Inasemekana nyumba ina mauzauza. Hapo ilipo hamna mtu anayelala ndani


Muwe mnawaweka watu wazi kuwaepushia watu hasara na usumbufu.


Angalizo kwa wanunuzi pia msikurupuke muwe mnaulizia na majirani pia kuhusians na status ya nyumba mnazotaka kununua au kupangisha
 
utakimbiza wateja mzee
 
Mbona chafu hivi?
 
Kwa anayeogopa mauzauza kabla hajainunua anipe 20mil niondoe mauzauza yote ni mzoefu mkubwa na cv yangu ukihiitaji njoo pm
 
vyumba saba, na makorombwezo mengine, vya nini? watoto wanamaliza shule, wanaoa na kuolewa na kuhamia kwenye nyumba zao, mimi nabaki na wife tu kwenye vyumba 7. hahahaha.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…