RealEstate Agent
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 244
- 321
- Thread starter
- #601
Shamba n mali halali kabisaa
15 mil, vipi, kwa heka iwe 1 mil, nije kukagua tufanye biashara. Isizidi hapo kama upo tayari.Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15.
Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote.
Bei ni milioni 18 tu, nauza lote sikati nusu nusu.
Tuwasiliane 067781828315 mil, vipi, kwa heka iwe 1 mil, nije kukagua tufanye biashara. Isizidi hapo kama upo tayari.
Una familia? Mke/mume na watoto?Tuwasiliane 0677818283
Ndugu haya maswali ya kuwasiliana privateUna familia? Mke/mume na watoto?
Ok, maana Kama wapo Ni mashahidi wa kuaminika. Nitakuja pm.Ndugu haya maswali ya kuwasiliana private
KaribiOk, maana Kama wapo Ni mashahidi wa kuaminika. Nitakuja pm.
karibuu.. 0677 818283Ok, maana Kama wapo Ni mashahidi wa kuaminika. Nitakuja pm.
😫😫😫😫Nyumba inauzwa morogoro maeneo ya chamwino 10M
Kwa mawasiliano 0719534334( muuzaji/ mwenye nyumba)View attachment 2196854
Umemaanisha nn hpo....cjaelewa😫😫😫😫
Jamaa anacheka, wee jamaa ni nyumba gani sasa hii?? 😂😂😂Umemaanisha nn hpo....cjaelewa
Nyumba inauzwa morogoro maeneo ya chamwino 10M
Kwa mawasiliano 0719534334( muuzaji/ mwenye nyumba)View attachment 2196854
Hapo ni kiwanja kinauzwa.Wewe unaweza kununua nyumba kama hiyo kwa 5M? Achilia mbali 10M
Acheni utani na ela
N sawa....biashara c maelewano tu...... sawa cio nyumba ila kama mtu anapataka c tunaongea tu kuna shida hapo?Jamaa anacheka, wee jamaa ni nyumba gani sasa hii?? 😂😂😂
N kweli nashkur kwa ushaur... hpo kuna kiwanja ambacho kinaeza tosha vyumba 5.....ukiachana na hicho kibanda hapo umeme na maji vpo karb hta hpo mbele yake kuna nguzo ya umeme na barabara ipo karb na gar linaeza ingia hd hukoHapo ni kiwanja kinauzwa.
Chamwino ni sehemu nzuri kwa biashara.
Ningekuwa Mimi ni muuzaji ningeeelezea ukubwa wa kiwanja, mandhari kama Kuna barabara au maduka na umiliki wake na ufikaji wa huduma kama umeme, maji na usafiri.
Halafu niongeze kuwa Kuna nyumba kwenye hichi kiwanja.
Mtu kama huyu utamuona akisema biashara ngumu kumbe ni vitu kama hivi.
Ukubwa wa kiwanja, hasa dimensions zake kama 20m x 20m au ni sqm ngapi.N kweli nashkur kwa ushaur... hpo kuna kiwanja ambacho kinaeza tosha vyumba 5.....ukiachana na hicho kibanda hapo umeme na maji vpo karb hta hpo mbele yake kuna nguzo ya umeme na barabara ipo karb na gar linaeza ingia hd huko