Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 155 TU
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NI MILIONI 155 TU......WAHI SASA
Mawasiliano 0677 818283

View attachment 1892717

View attachment 1892718

View attachment 1892719

View attachment 1892720

View attachment 1892721

View attachment 1892722

View attachment 1892723

View attachment 1892724
50m
 
mkuu biashara ya kuuza nyumba inahitaji uvumilivu hasa nyumba za bei kubwa.. sio biashara ya kuweka leo kesho mteja kaja
Sasa chief ukiwakumbusha wateja ni huwa unapandisha bei au inashuka, kumbuka hiyo ni asset hai depreciate.
 
Transaction kama hizo ni online tu ,haina haja ya kutembea na mzigo wote huo.
Sawa ushanunua mjengo baada ya mwaka unapigwa tanchi wanakudedisha hapo getini au njiani .si usenge tu,
Huwezi kujitoa kununua hilo bungalow alafu ufe kifala.
Sijawai kusikia kuna tajiri aliyewekwa kati na hawa wasenge na viboxer vyao wakawatawanya.
Wanaishia kusurrender tu wanaibiwa.
Toka ndani ya gari kwa timming na mashine unapiga shambulio la kushtukiza,chapa risasi za kiuno miguu mabega za kutosha.ukiwaweka chini unawasachi kwanza kisha unaita polisi.
 
Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 155 TU
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NI MILIONI 155 TU......WAHI SASA
Mawasiliano 0677 818283

View attachment 1892717

View attachment 1892718

View attachment 1892719

View attachment 1892720

View attachment 1892721

View attachment 1892722

View attachment 1892723

View attachment 1892724
Tupe maelezo ya ukubwa wa eneo ni square miter ngapi?
 
Back
Top Bottom