Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,238
- 6,365
Haikaliki, kuna majini?nyumba ina miaka mingi hiyo haikaliki mkuu
Haikaliki, kuna majini?nyumba ina miaka mingi hiyo haikaliki mkuu
Uzuri ni plot kubwa nusu ekari and the location matters its rather not for business center but its specifically prime area.The location dear
Nahisi, yeye anauza 1.5 ni kiwanja ambacho limeshapimwa, maana utakuwa unaptiwa na hati halisi ya Serikali. Pia, vipo karibu kabisa na barabara kuu ya lami. Huyu mdau hapa anauza mashamba, ukishanunua inabidi ulitengenezee mchoro wa matumizi, kisha uanze mchakato wa kupima ili ipate hati ya viwanja/ shamba. Hii michakato yote ina gharama.Okay Asante kwa taarifa, yule jamaa anauza viwanja 1.5 fukayosi eti vipo 100m toka bagamoyo road dalali mwanamke yeye vipi?
Uza heka moja moja mkuu,,,,,tengeneza mchoro wa heka moja moja.barabara na kila kitu,,,Shamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road
shamba lina heka 15
document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote
bei ni milioni 18 tu
nauza lote sikati nusu nusu
mawasiliano 0677 818283
View attachment 1882296
Asante kwa kunielewesha.Nahisi, yeye anauza 1.5 ni kiwanja ambacho limeshapimwa, maana utakuwa unaptiwa na hati halisi ya Serikali. Pia, vipo karibu kabisa na barabara kuu ya lami. Huyu mdau hapa anauza mashamba, ukishanunua inabidi ulitengenezee mchoro wa matumizi, kisha uanze mchakato wa kupima ili ipate hati ya viwanja/ shamba. Hii michakato yote ina gharama.
Halafu, huko fukayosi kwenye upande a mashamba nimesikia kuna migogoro ya ardhi. Kuna watu wameuziwa maeneo ya
NARCO.
Itakuwa na dhulumaHii nyumba naifaham . ni zaidi ya miaka 10 anatafutwa mteja hapatikani. wapangaji nao wakiingia hawakai hata week wanakimbia. Inasemekana nyumba ina mauzauza. Hapo ilipo hamna mtu anayelala ndani
Muwe mnawaweka watu wazi kuwaepushia watu hasara na usumbufu.
Angalizo kwa wanunuzi pia msikurupuke muwe mnaulizia na majirani pia kuhusians na status ya nyumba mnazotaka kununua au kupangisha
mkuu biashara ya kuuza nyumba inahitaji uvumilivu hasa nyumba za bei kubwa.. sio biashara ya kuweka leo kesho mteja kajaHii nyumba kila siku inapostiwa ni kwanini haiuziki?
Labda ina mauzauza si unajua tena utajiri ulivyo na mambo mengi?Hii nyumba kila siku inapostiwa ni kwanini haiuziki?