Yuko vizuri, Sera zake zinaeleweka kamanda, sio lazima kila mgombea aongee kama Lissu. CCM mbele kwa mbele, CCM tano tena.Mh sana Rais na Mgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli pokea ushauri wangu huu wa bure kabisa.
Mosi, nakushauri sana tena sana. Usimjibu Tundu Lissu maana kwa kufanya hivyo utaendelea kutapata aibu kubwa.
Level za Lissu ni za juu sana sioni mwanaccm wa sasa wa kuweza kushindana nae kwa hoja kwahiyo kwa heshima yako na ya chama chako jikite tu kwenye sera zenu. Hilo la kwanza.
La pili nakushauri usipende kuiga na kutaka kutembelea nyota ya Lissu. Usidandie treni kwa mbele hasa ahadi ambazo chama chako haijazifanyia utafiti hivyo kutoka na uwezo wa kuzitekeleza km mlivocopy sera ya Chadema ya elimu bora na bure. Hili pia litakufedhehesha ww binafsi na chama chako iwapo utaendelea.
Ni hayo tu kutoka kwangu, kukubali au kukataa ni uamuzi wako. Ushauri kama huu huwezi kupewa na mwanaccm wao kazi yao kubwa ni kujipendekeza ili wapate vyeo kwa kukudanganga kua unakubalika unapendwa wkt hali halisi mtaani wewe mwenyewe umeshaiona.
Nukuu ya kwenye katiba: "Rais hatawajibika kufuata ushauri wa mtu yeyote"
Takukuru wapo makini sana wanafuatilia.
Eh!Eh!Eh!Eh! Yule Mzilankende anaenda tena huko? Na sasa mmeongeza maafa ya moto! Sijui wasanii wataendelea na burudani zao wakati kuna msiba? Je bila wasanii wananshomile watakuja kusikiliza vidonge vyao? Nadhani habari ya MV Victoria Hapa Kazi Tu itakuwa imewafuta machozi ya tetemeko, ukimwi, Katerero, mto ngono, vita ya kamera na huo moto wa shule ya Byamungu Islamic?!!?!? Poleni wana Kagera kuweni na moyo wa upendo na subira!
Yeye anatupangia kwa ela ipi aliyonayo?Usimpangie Mheshimiwa mambo ya kufanya aisee...!
Ana mambk mengi ya kufanya aisee.
Ulipozungumzia ilani umenikosha sana maana tokea kampeni zimeanza nimekua naitafuta ilani ya uchaguzi ya chadema bila mafanikio. Naomba unisaidie kuiweka hapa comrade nipate kuisoma... Salaaam
Kumekuwa na Sintofahamu juu ya chama cha CCM na mgombea wake Dr John Pombe Magufuli juu Upatikanaji wa Tume Huru na Katiba Mpya.
Tofauti na vyama vingine Kama CHADEMA, ACT WAZALENDO N.K Ambao wao katika Ilani na Sera zao wameipa Kipaumbele KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI, Tena wameenda mbali na kusisitiza kuwa Litakuwa jambo la kwanza kulifanya Tena kwa Haraka kupitia Rasimu ile ya JAJI WARIOBA.
Chama cha CCM wao hawana muda Kabisa na Katiba Mpya na Tume Huru Tena katika Miaka mitano (5) ya Magufuli aliipinga vikali wakati ni hitaji la Watanzania.
Sasa kwa kuwa Hawa ccm wanajifanya kuikwepa Katiba na Tume Huru hatuna haja ya kuchagua watu wanaopenda Katiba ya KUTUTAWALA badala ya KUTUONGOZA.
Tundu Lissu Anatosha ndugu zangu.
Yeye anatupangia kwa ela ipi aliyonayo?
Ccm wajinga wajinga wamejaa fuso na kubaki
Ulipozungumzia ilani umenikosha sana maana tokea kampeni zimeanza nimekua naitafuta ilani ya uchaguzi ya chadema bila mafanikio. Naomba unisaidie kuiweka hapa comrade nipate kuisoma.
Nchi sio familia ndugu... Huwezi kuongoza nchi Kama unavyoongoza mkeo gheto.Hujui kuwa baba wa familia ndio anapanga chochote juu ya watoto pamoja na mkewe au mke ndio huwa anakupangia wewe kipi cha kufanya ndugu...!
Nchi sio familia ndugu... Huwezi kuongoza nchi Kama unavyoongoza mkeo gheto.
Hili ni Taifa