1.Vox Populi vox dei -voice of people voice of God

2.In vino Veritas- In Wine Truth

3.De malo Bonum- Bad From Good

4.Dum Vivimus Vivimus- While we live let us live

5.Dex Vult- God will

6.Ora et Labora-Pray and work

7.Vada Retro Me Satana-Get off my back satan

8.Via trita via tuta'- The beaten path is safe path

9.Sic Transit Gloria Mundi-Thus passes the glory of the world

10. Semper idem- Always the same

11.Nihil Sub Sole Novum- Nothing is new under the sun

12.Citius Altius Fortius -Faster Higher Stronger

13.Si Vis Amari ama - If you wish to be loved,Love

14.Noli me Tangere -Do not touch Me

15.solus populi suprema Lex - The walfare of people is ultimate law

16.Dura Lex sed Lex- Tough Law but still a law

17.Lex Malla lex Nulla - Bad law not law

18.Dum spiro spero - While I breath I hope

19... ongeza kama unajua ili ushare na watu

Gonga like uliyokubali twende pamoja .
 
Nemo judex in causa sua = " No one should be a judge in his own case"

Aud alteram partem = "listen to the other side" or "let the other side be heard as well"
 
NUKUU ZA WANAFALSAFA MAARUFU

1. "Napenda kuwaambia wale wanaodhani siasa haiwahusu, Moja ya madhara ya kukataa kujihusisha na siasa ni kwamba utaongozwa na watu uliowazidi akili. Na kwa upungufu wao wa akili watafanya maamuzi ya kila kitu kinachohusu maisha yako"- Plato.

2. "Moto mkali zaidi wa jehanam wameandaliwa wale wanaojifanya wapo neutral mahali ambapo wanyonge wanaonewa"- Martin Luther King, Jr.

3. "Kama hatuamini uhuru wa maoni kwa wapinzani wetu, basi hatuamini katika uhuru wa maoni kabisa. Kwa sababu wafuasi wetu hawahitaji uhuru wa kusema, bali wapinzani wetu"- Noam Chomsky.

4. "Binadamu kwa asili ni mnyama wa kisiasa. Kumtenganisha na siasa ni sawa na kumzuia kuishi"- Aristotle.

5. "Changamoto kubwa ya ulimwengu kwa sasa ni kwamba wenye akili hawataki kujihusisha na siasa, na hivyo wajinga wamepewa mamlaka ya kuwatawala wenye akili na wasio na akili"- Donald Trump.

6. "Siamini kama tofauti ya mawazo katika siasa, au imani ya kidini inaweza kupoteza urafiki wangu na mtu yeyote"- Thomas Jefferson.

7. "Wanaosema dini na siasa havina uhusiano, hawajui maana ya dini"- Mahatma Gandhi.

8. "Siasa ni sanaa ya kuibua matatizo ya jamii, kuonesha unaumizwa nayo, kisha kujifanya unayatatua kumbe unayaongeza. Maana bila matatizo ya jamii hakuna wanasiasa"- Groucho Max.

9. "Siasa ni vita isiyo na damu, na vita ni siasa yenye damu"- Mao Tse Tsung.

10. "Sipendi vichekesho (comedy), lakini napotaka kucheka hufuatilia namna serikali inavyofanya mambo yake"- Will Rogers.

11. "Ni afadhali kuwa na jeshi la kondoo linaloongozwa na Simba, kuliko jeshi la simba linaloongozwa na kondoo."- Napoleon_Bonaparte.

12. "Lengo la kwanza la vita sio kufa kwa ajili ya nchi yako, hapana. Bali ni kuua mtu mwingine kwa ajili ya nchi yake."- George_Patton.

13. "Lazima nisome siasa na vita ili mwanangu apate uhuru wa kusoma hesabu na falsafa."- John_Adams.

14. "Washindi wanashinda kwanza halafu wanakwenda vitani, wanaoshindwa huenda vitani kwanza halafu ndio wanatafuta ushindi."- Sun_Tzu.

15. "Inafahamika vizuri katika vita, majeruhi wa kwanza ni ukweli. Kwamba, wakati wa vita, ukweli huharibiwa vibaya na propaganda."-
Harry_Browne.

16. "Propaganda ikitumiwa vizuri inaweza kumfanya mtu aone kuwa paradiso ndio jehanam na jehanam ndio paradiso."- Adolf_Hitler.

17. "Mtu mwenye ufahamu wa kweli, si tu kwamba atawapenda maadui zake wanapofanya vizuri, bali pia atawachukia marafiki zake wanapokosea."- Friedrich_Nietzsche.

18. "Madaraka ni kama mchanga. Jinsi unavyoyakumbatia kiganjani ndivyo yanavyokuponyoka."- Confucus.

19. "Tofauti kati ya akili na ujinga ni kuwa, akili ina kikomo, ujinga hauna kikomo."- Albert_Einstein.

20. "Kuna watu wawili tu wasioweza kubadili mawazo. Mpumbavu kuliko wote na mwenye hekima kuliko wote."- Plato.

21. "Rais ni mtu wa kushutumiwa kila mara. Ukiona hataki kushutumiwa, ujue hajui sababu ya kuwa hapo."- Harry_Truman.

22. "Sote tumezaliwa wajinga, tunahitaji bidii kidogo ili kuwa na maarifa, au bidii kubwa sana ili kuendelea kubaki wapumbavu. Baadhi huchagua njia ya pili."- Benjamin_Franklin.

23. "Unajisi wa sheria hutokea pale ambapo mahakimu/majaji, hujiweka mikononi mwa watawala na kuamini watawala wana nguvu kuliko sheria"- Lamar_Smith.

24. "Kuliko kuwapa wanasiasa ufunguo wa maisha yako, ni bora ubadili kitasa"- Doug_Larson.

25. "Mpumbavu akipewa nyundo hudhani kila tatizo anaweza kulitatua kwa nyundo" .-Nelson Mandela

26. " Muendelee kuniombea ili cheo change cha urahisi kikajenge umoja wa Watanzania, mniombee ili nisiwe na kiburi kwa kutumia cheo change cha uraisi, mniombee ili jiwe mtumishi wenu Watanzania". - J.P.Magufuli

IPI UMEIPENDA ZAIDI?.........................SHARE
 
Mzee baba salute kubwa
IMG_20181231_193552.jpeg


Jr
 
Back
Top Bottom