ngaboru
JF-Expert Member
- Mar 3, 2016
- 1,936
- 5,069
Aiseeee RIP tycoon"I dont like small thinking, i dont like small dreams, i like big dreams"
- Ruge Mutahaba
Aiseeee RIP tycoon"I dont like small thinking, i dont like small dreams, i like big dreams"
- Ruge Mutahaba
Tatizo lako ni zero brain.... marehemu mwenyewe alisema his death should be celebrated kenge maji wewe sijui unaongea pumba gani. Ukiweza fungua thread yake uandike content unayoitakaWakati mwingine tujifunze kumsifia mtu Akiwa hai. Ameshakufa ndo tuanze kutoa sifa zake? Ni unaaa
Tatizo lako ni zero brain.... marehemu mwenyewe alisema his death should be celebrated kenge maji wewe sijui unaongea pumba gani. Ukiweza fungua thread yake uandike content unayoitaka
Tatizo lako ni zero brain.... marehemu mwenyewe alisema his death should be celebrated kenge maji wewe sijui unaongea pumba gani. Ukiweza fungua thread yake uandike content unayoitaka
"Makonda kwangu ni mtoto mdogo sana"Pamoja na mapungufu yote ya marehemu, alikua ni mtu mwenye kuhamasisha na kutia moyo wakati wote vijana tupambane. Shiriki nasi msemo wowote wa marehemu wa kutia moyo. Awe alisema yeye mwenyewe or alidukua kutoka sehemu nyingine.
Pumzika salama Mr brain.
NB: mods msiunganishe huu uzi