Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha nimekumbuka mtu wa kwanza kuniacha hadi bp ilishuka aisee .. baadae nikamove on
Yaani anajua kabisa nina kinyongo naye .

Juzi tumefundishwa kusamehee na kuachilia ... Nimesamehee maana we still chat Ila sijaachilia .
mbavu cnaaaa khaaaa, mna matukio hivyo na hamsemi, sijapendaaaaa.
 
Ujue tyu Mapenzi yana seasons mdogo wanguuu! Jiandae kwa yote na usiwe na lots of expectations kwa Mwenzio sometimes mambo hubadilikaa huyohuyoo anoonesha malovee kama yote hapo mwanzo anaeza kugeuka ukabaki unajiuliza bila majibuuu!! Hii inaapply kwa wotee yeyote aeza badilika
Ni kujiandaa kwa yoteee pia!! Na Sometimes Ni Kupambana kama mlivosema hapo juu na mamaa lipss Tinsley nawengine ikifika Crisis ndio balaaa ifike crisis afu no resolutions ndobasi tenaaaa til we meet again
Note that pia!

Nipo Naendelea kusoma tena
Kheeeeeeh wee ndo umeandikaaaa??? Sikuwahi jua una madesa hivi, sasa mbna hutoagi somo watu wajifunze.??

 
Sema ni kama tumeshazoea ni bora kudanganywa kuliko kuambiwa ukweli..na muda mwingine unajua kuwa husband/Boyfriend amechepuka na labda hata text uliona ila akisema sio kweli tunaridhika na maisha yanaendelea akisema ukweli mfano "ndio nimechepuka na sophy tena sijui kwanini sikumuona mapema kabla yako" unadhani itakuwaje?.hebu pima mauimivu ya uongo na maumivu ya ukweli yapi yanauma
nyie nacheka km chizi hapa lol.
 
Au wee unajifanya kupenda Kweri Kweri umbe mwenzio alikutamani tyu jomonee! cocastic shoss akee wherayuuuu?? Miss you dear
Hebu nimalizie kupanda walai
Shougaaaaaa angu nipooooooo hapaaa, nasoma madesa ya mapenzi na mahusiano,

Mko vizuriii mnoooō
 
Back
Top Bottom