Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Alivo kichomi huyo watamuweza?? Huyo akili zake anazijua mwenyeweAshindwe yeye tu hahaha , muda wote anatuma text nakuja sasa , anajillia zake 😂
Alivo kichomi huyo watamuweza?? Huyo akili zake anazijua mwenyeweAshindwe yeye tu hahaha , muda wote anatuma text nakuja sasa , anajillia zake 😂
Naanza kula tunda alafu tunda litanililisha tunda![]()





ndyo maana Lenie haonekani humu kumbe unalishwa tunda kimya kmya 


Jiko ninalo la gesiCarrasco putin ndio ukomee ubahiliii wakoo tafuta jiko ujilie vinono asubuhi mchana jioni usiku wa manane na alfajiriii![]()
![]()

Ananikanda mgongoo hapa huku, kavaa ki night dress hivi kinatelezaa nakula vitu viwili kwa wakati mmoja 😊😊
Na kichomi haswaAlivo kichomi huyo watamuweza?? Huyo akili zake anazijua mwenyewe
Umebadili avatar eehembu niacheni huko
Amen amen!! Tumuombee tu iwe hivo walaiNa kichomi haswa
Anyway anaweza pata mke atakayependa ukichomi wake .
Love is blind
HapanaUmebadili avatar eeh
Hivi aifon 14 pro max ndio kesho😂😂Ananikanda mgongoo hapa huku, kavaa ki night dress hivi kinatelezaa nakula vitu viwili kwa wakati mmoja 😊😊
Eeh kesho wana zindua, alafu nakuwekea order yako chap chap.. Usichati huku wanikanda 😂😂Hivi aifon 14 pro max ndio kesho😂😂
Huyu Kenge ningemng'oa mayaiKachukua moyo wa mwenzie umekuwa mpira
![]()
Abee Carrasco putin umeniita?😅
Aki si nitashindwa kulala leo😛Eeh kesho wana zindua, alafu nakuwekea order yako chap chap.. Usichati huku wanikanda 😂😂
Hapana mazee sijawahi....MALCOM LUMUMBA hii ki website ulishakitembelea enzi za bongo fleva online , leo nime ikumbuka hii websiteView attachment 2345425
AmenAmen amen!! Tumuombee tu iwe hivo walai
Si huwa mna mayai😂😂😂😂Ya wapi![]()
Hii tulikuwa tunaitumia enzi hizo kupata track mpya, au ngoma kali kali za bongo flevaHapana mazee sijawahi....
Naona kimejaa ngoma za zamani....
Amen! Huyo muombewaji mwenyewe sasa!🤔🤔 Wee Carrasco putin njoo useme amen huku !Amen
Apate mke mwema
Proverbs 31