National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
Mambo sophy27 😉Hukulala Kwamba kilio au
Hauna kavideo nikuone😂😂
Mambo sophy27 😉Hukulala Kwamba kilio au
Hauna kavideo nikuone😂😂
Majibuuu kwako mjumbe Saint Anne 😂😂😉😉Hukulala Kwamba kilio au
Hauna kavideo nikuone😂😂
Yaani mimi kusocialize kumeshinda aisee .. Leo mnacheka kesho huyo kageuka futi miaKweli shetani pia yupo kazini.
Yaani wewe kama Mimi..sipendi kujiattach sana na watu..Mambo ya kuja kupigana matukio na marafiki Wala siyataki.
Naongea na kila mtu lakini muda mwingi nakuwa mwenyewe.
Hata nikipata stress basi najua zitaondoka tu.😊😊😊😊 Dah! Ila una uzoefu hata wa kuwa na mtu.. Kwaiyo huwezi pata stress zingine
😃😃Yaani mimi kusocialize kumeshinda aisee .. Leo mnacheka kesho huyo kageuka futi mia
Well said AnneTena wanaojionyesha kuwa wema machoni ndio huwa wabaya hao acha kabisa.
Kikubwa ni kupunguza matarajio,,Tenda wema nenda zako.
Akikutendea mabaya basi Mungu mwenyewe atalipa.
Stress za kukosa na hela na mapenzi zipi kipengele 😁😁Hata nikipata stress basi najua zitaondoka tu.
Tupate pambio kidogo..😂Wagawie watu saba hata wanane sehemu yako,
maana, hujui balaa litakalofika duniani.
Mawingu yakijaa maji, mvua hunyesha;
mti ukiangukia kusini au kaskazini,
hapo uangukiapo ndipo ulalapo.
Anayengoja upepo hatapanda mbegu,
anayesubiri mawingu yatoweke, hatavuna kitu.
Akhuu sitaki mie😃😃
Socialize hivyohivyo huku unachukua tahadhari.
Mambo safi 😊😊 mzima lakini?Poa mambo vip
Nililala Lakini late kwa sababu pia nilikuwa na mtihani kesho yake.Hukulala Kwamba kilio au
Hauna kavideo nikuone😂😂
Jomonee...... !! 😉😉Yaani mimi kusocialize kumeshinda aisee .. Leo mnacheka kesho huyo kageuka futi mia
Ilikuwaje tena mweee🤣🤣🤣🤣Akhuu sitaki mie
Juzi nimesocialize na watu hapo
Ehh wamenishushua hao yaani kisa cha kijinga . .. sijaumbwa for interaction
Unakwama wapi Auntie?
Polesana kunavitu haviepukiki na ndo mapito hayoNililala Lakini late kwa sababu pia nilikuwa na mtihani kesho yake.
Niliumia tu kwa kuwa mstarajio ya kuanzisha urafiki yalikuwa ni makubwa na mambo yakaenda tofauti hata kabla muda haujafika .. Mwenzangu akaona asiendelee kuteseka ,,akawahi mambo yake.
Bwana ametamalakiTupate pambio kidogo..😂
kwako Saint Anne🎶🎼
Hela hela helaStress za kukosa na hela na mapenzi zipi kipengele 😁😁