Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

National Anthem njoo tule tunda
20220906_173105.jpg
 
Yani mtu unajua kabisa kuwa Antonnia anampenda mtu wangu kufa kuozaaa na evidence unazo kabisaaaa Siku ya siku anakwambia............. Nhiiiiiiiiiiiiiiii... watu kibao hawana pesa still they survive kweeeeeenndddraaa

Mdomo komaa😷😷😷🤭🤭🤭🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️ Tuendelee kuselfika
Kabisa kipenzi uvumilie maumivu kisa mtu ana pesa.
 
Kudanganywa inauma mno asikwambie mtu 🤣
Sema ni kama tumeshazoea ni bora kudanganywa kuliko kuambiwa ukweli..na muda mwingine unajua kuwa husband/Boyfriend amechepuka na labda hata text uliona ila akisema sio kweli tunaridhika na maisha yanaendelea akisema ukweli mfano "ndio nimechepuka na sophy tena sijui kwanini sikumuona mapema kabla yako" unadhani itakuwaje?.hebu pima mauimivu ya uongo na maumivu ya ukweli yapi yanauma
 
Back
Top Bottom