Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwisho wa siku anakua karuka mkojo kakanyaga maviiiii anahahaa sio kidogooooo.... full kusumbuanaa mmxxcieeewww 😏😏😏😏!! Peleka huko gonorhoea zenu alaaaahh!!πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ

Bado Napanda maharage mie πŸ˜‰πŸ˜‰πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
Hao wanaopanga wanawake sio
Dunia imeisha hii dah , magonjwa tele mengine hayatibiki hata .

Panda maharage dear
 
Acha wanaopenda waendeele
Tumeumbwa kutii sie .. utapenda kumbe unapenda peke yako
Au wee unajifanya kupenda Kweri Kweri umbe mwenzio alikutamani tyu jomoneeπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ! cocastic shoss akee wherayuuuu?? Miss you dear
Hebu nimalizie kupanda walaiπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
 
Kama mnataka mbususu mnataka ngapi kwa maana hamtulii na moja wenyewe mna kamsemo kenu kwamba mnabadilisha radhaπŸ€·πŸΌβ€β™€οΈ
Acha niongee nikiwa na akili timamu ni set dish mahala pake.

Issue sasa hivi ya kutokuwa na uaminifu na hofu kwenye mahusiano mengi inatokana na misingi mibovu ya kiimani, kimaadili ukiachana na yote mengine. Kila kitu kwenye maisha ya mwanadamu kinajengeka kwenye imani na maadili (kwenye maadili tunapata tamaduni )

Niongee kwa ufupi imani ya kweli, inapokosekana si Me au Ke atae kuwa na hofu kwa Mungu, hofu kwa Mungu ikishapotea hakuna uaminifu, mtu hamuogopi Mungu na sio muaminifu kwa Mungu unategema awe na hofu na muaminifu kwa mwanadamu mwenzake?

Tukija kwenye tamaduni, misingi mingi ya kitamaduni imekufa enzi zetu tulipokuwa tunataka kuoa wazee wanafanya vetting kijijini, unaoa unacho kijua na unaolewa na unacho kijua..

Ila sasa hivi nakutana na manzi kidimbwi imenipa mifinyo kesho natangaza ndoa hujui kama jambazi au mchawi
 
Acha niongee nikiwa na akili timamu ni set dish mahala pake.

Issue sasa hivi ya kutokuwa na uaminifu na hofu kwenye mahusiano mengi inatokana na misingi mibovu ya kiimani, kimaadili ukiachana na yote mengine. Kila kitu kwenye maisha ya mwanadamu kinajengeka kwenye imani na maadili (kwenye maadili tunapata tamaduni )

Niongee kwa ufupi imani ya kweli, inapokosekana si Me au Ke atae kuwa na hofu kwa Mungu, hofu kwa Mungu ikishapotea hakuna uaminifu, mtu hamuogopi Mungu na sio muaminifu kwa Mungu unategema awe na hofu na muaminifu kwa mwanadamu mwenzake?

Tukija kwenye tamaduni, misingi mingi ya kitamaduni imekufa enzi zetu tulipokuwa tunataka kuoa wazee wanafanya vetting kijijini, unaoa unacho kijua na unaolewa na unacho kijua..

Ila sasa hivi nakutana na manzi kidimbwi imenipa mifinyo kesho natangaza ndoa hujui kama jambazi au mchawi
πŸ’―πŸ”¨Fact
 
Back
Top Bottom