cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,182
Watuacheeeee kabisaaaaa.Kwakweli watuache tu
Hahahaha Leo tu
Tuliamua tu kujiachia hahaha






kwa kweli hatareeeeh leo.Niliwaogopa wavulana kama ukoma
Niliwaogopa wavulana kama ukoma
Na vitisho vya mama ndo kabisa![]()






dear unanichekesha mnoooo. Uwiiiiiih.Naumizwa shostiHufanani kabisaaaa,![]()
Yes deardear unanichekesha mnoooo. Uwiiiiiih.
Yeah inatokea tu tunachilia maonikwa kweli hatareeeeh leo.
Naumizwa shosti
Ikitokea unasonga tu mbele






daaah mapenzi ni matamu na machungu pia.Yes dear
Nilikuwa naive mno
Sikutaka shida
Either niongee na me wakati wa ibada huko .







wee Dear khaaaaah.Leo mmefunguka wenyeweee had baas, uwiiiiih.Yeah inatokea tu tunachilia maoni
Matamu haswa unaona dunia yote yakodaaah mapenzi ni matamu na machungu pia.
Yeah huwa inasaidia kufunguka hivyoLeo mmefunguka wenyeweee had baas, uwiiiiih.
Nilikuwa kashamba 😂😂wee Dear khaaaaah.