Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Miee??? Nijinyonge kisaa dyudyuuu ama?? Heheheheeee Sitaki kutia neno puliiiiizzzzzz!!
Harafu wee Anne unaongelea ningejinyonga kwenye ishu gane rabda??!( kwa tone ya ki nshomiles !!)
Hhhhihiiiiiiiiiii
Nasoma koments tyuuuu sitii nenoo
sikuweziiiiiiiii shougaaaaa angu.
 
Mimi mwenyewe nilishawahi kutofautiana na rafiki ambaye alikuwa kama Ndugu,,kwa ugomvi wa kijinga tu.
Nilikosa amani.
Ila kama Mungu alidhamiria muwe karibu mtakuwa tu bila kujali Chochote..
Alininunia baadaye alijirudi mwenyewe.

Kitu kama ni Chako basi ni Chako tu,hata kama kwa sasa hakipo mikononi mwako ila inakuja siku kitarudi.
mnachekesha sana nyie uwiiiiiih.
 
Back
Top Bottom