cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Weuweeeee shouz yetu mtu mzima siku hizi jomoneh
Nyieeeh acheni Ukorofi sieeeeeew








Weuweeeee shouz yetu mtu mzima siku hizi jomoneh
Nyieeeh acheni Ukorofi sieeeeeew








Matokeo??? Naomba nije kuchapa wanafunzi walio fall.Na picha
Hahahaha sikuwahi kuwa na rafiki wa kiume kule .
Nichapwe kisa nn ?






kwann sasa wee dear.??Santo sana mr vocha!Huu muhula umekaa kiwaki sana mwalimu ukizubaazubaa NECTA hii hapa!







Nitag mie.Kuna Uzi Fulani huko umetrend..
Nimecheka sana hadi nikataka kuzimia.
Hadi sasa hajapatikana mshindi.
Sikutaka fimbokwann sasa wee de
Shouzzzzzzz nan amekuharibuuuuuu??? Sema nkamcharueee.











kumekuchaaaaaaaa!!!! KhaaaahMic u too auntWazima shangaziiiii, vipi wee??
Mic u![]()
Tatizo lughaa,Nasindikiza na quote mie Madam
"Love does not begin and end the way we seem to think it does. Love is a battle, love is a war; love is a growing up.” – James Baldwin







Mweh pole aisee
Nakuelewa hapo kwa kukonda , mie ni mjinga kwenye suala zima la mapenzi .. mtu unawaza hadi unachoka ,






naweee mapenzi yanakuburuzaga??? Sitakiii kuamini dear lol.Nipoooooo nimejaaa teleeee.








Ndioooooooooo!! Unajiua huku wenzio wanaendeleza kuikatikia wanakula maishaa maninaaaa!
Hivi nilisema sitii nenoo eee!!
Hapaa nasoma komenti tyuuu![]()







umechachuka vibayaaa mnooo. UwiiiohMiee??? Nijinyonge kisaa dyudyuuu ama?? Heheheheeee Sitaki kutia neno puliiiiizzzzzz!!
Harafu wee Anne unaongelea ningejinyonga kwenye ishu gane rabda??!( kwa tone ya ki nshomiles
!!)
Hhhhihiiiiiiiiiii
Nasoma koments tyuuuu sitii nenoo









sikuweziiiiiiiii shougaaaaa angu.
Kwenye battle...
Purukushani za watu aisee dada wa watu wakakugeuza kumalizia hasira.





ila wee mpanaaaaa, khaaaaah😂😂Kwakweli watuache tuwatuacheeeeee, hatutaki heka heka sie.
Mimi mwenyewe nilishawahi kutofautiana na rafiki ambaye alikuwa kama Ndugu,,kwa ugomvi wa kijinga tu.
Nilikosa amani.
Ila kama Mungu alidhamiria muwe karibu mtakuwa tu bila kujali Chochote..
Alininunia baadaye alijirudi mwenyewe.
Kitu kama ni Chako basi ni Chako tu,hata kama kwa sasa hakipo mikononi mwako ila inakuja siku kitarudi.








mnachekesha sana nyie uwiiiiiih.