Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli shetani pia yupo kazini.


Yaani wewe kama Mimi..sipendi kujiattach sana na watu..Mambo ya kuja kupigana matukio na marafiki Wala siyataki.
Naongea na kila mtu lakini muda mwingi nakuwa mwenyewe.
[emoji6][emoji6][emoji6] Hii ya "kujiattach sana na watu" pia nimeinote [emoji404][emoji404]

Asante Bado Nipo hapa [emoji144][emoji144][emoji144]
 
Lizzy nipo na watoto wangu tumepumzika ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
IMG_20220906_152434_edit_6072199216781.jpg
 
Yah nilipata stress.
Nikawaza huyu mbona ameamua hivyo wakati tulikubaliana vizuri kusubiri nimalize shule ndipo tuanze mambo mengine.
Zikaanza pilika pilika za ugomvi ili ipatikane sababu.
Nikagive up kweli.


Watu wakawa wanasikitika Hawa watoto vipi tena,akawa anajiwahi kuwa eti nilipoenda shule nikawa busy.
Sasa wazazi watupe ada halafu nizembee kusoma nidisco!
Masomo tu yalikuwa yananipeleka puta.
๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š Dah! Ila una uzoefu hata wa kuwa na mtu.. Kwaiyo huwezi pata stress zingine
 
Ohooo umzanie ndie kumbe siye kungwi huyo
Mdomo komaa ๐Ÿ˜ท๐Ÿ˜ท
Mapee yamewapata wenyeweee ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ’ƒ
Weraweeraaaaaaaaaaaaaa... in cocastic voice!!
Inapendeza sanaaaa๐Ÿคธ ๐Ÿ‘๐Ÿ‘โœŒ๏ธ
Saint Anne sina budi kusema

"Kila lenye kheri mamaa"๐Ÿ˜˜
Tunakumbushana tu lakini
"love is a war ..it is a battle"
 
Weee usinambie tayari keshakorezwa??๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰!!
Na mbona naona bado sana mie Saint Anne sema kweri walai??๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hakuna mtu ambaye hajui kupenda.
Mungu alituumbia upendo..
Kazi ni kupata mtu unayempenda na yeye anakupenda.


Mimi napenda kwa moyo wote๐Ÿ˜
 
Back
Top Bottom