Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
ππππ
Agape Love
ππππ
ππππ Akolezwe mala ngapi tena ShangaziNatamani sana kumuona Saint Anne akiwa kakolezwa ile kisawasawa na mapenzi walaiπ€π€ Sijui kwanini
Nilishapoa kitambo ila ndio ilikuwa experience yangu ya kwanza kuvunja urafiki.Aisee? pole sana
Mwambie mwambie ππππππππ Akolezwe mala ngapi tena Shangazi
AmenI have learnt not to correct people even when I know they are wrong, making everyone perfect sio jukumu langu, lakini yote kwa yote na kikubwa zaidi peace is more precious than perfection, so tuishi kwa amani...
Kweli shetani pia yupo kazini.
Yaani wewe kama Mimi..sipendi kujiattach sana na watu..Mambo ya kuja kupigana matukio na marafiki Wala siyataki.
Naongea na kila mtu lakini muda mwingi nakuwa mwenyewe.


Hii ya "kujiattach sana na watu" pia nimeinote 




Badoooo nyie reteni mapoints reteni mapointtttsssssSamare haijajaa boss ledi?
Kukupe note buku nyingine![]()




!ππππ Dah! Ila una uzoefu hata wa kuwa na mtu.. Kwaiyo huwezi pata stress zingineYah nilipata stress.
Nikawaza huyu mbona ameamua hivyo wakati tulikubaliana vizuri kusubiri nimalize shule ndipo tuanze mambo mengine.
Zikaanza pilika pilika za ugomvi ili ipatikane sababu.
Nikagive up kweli.
Watu wakawa wanasikitika Hawa watoto vipi tena,akawa anajiwahi kuwa eti nilipoenda shule nikawa busy.
Sasa wazazi watupe ada halafu nizembee kusoma nidisco!
Masomo tu yalikuwa yananipeleka puta.
Gari imeisha pata moto wenyewe ule OG π π πMwambie mwambie ππππ
Weee usinambie tayari keshakorezwa??πππ!!ππππ Akolezwe mala ngapi tena Shangazi
ππππ Brand new milles hazijasomandio mkuu karibu sana. Nipo na mtoto mbichi kabisa Saint Anne
Ohooo umzanie ndie kumbe siye kungwi huyoWeee usinambie tayari keshakorezwa??πππ!!
Na mbona naona bado sana mie Saint Anne sema kweri walai??π€π€π€£π€£π€£ππ
Ndioo ndiioooooππππ
Agape Love
Mdomo komaa π·π·Ohooo umzanie ndie kumbe siye kungwi huyo
ππππ Ohoooo acha kabisaaaMdomo komaa π·π·
Mapee yamewapata wenyeweee πππ
Weraweeraaaaaaaaaaaaaa... in cocastic voice!!
Inapendeza sana ππβοΈ
Sitii nenoo mjomba π·π·ππππ Ohoooo acha kabisaaa
Hukulala Kwamba kilio auTaratibu utazoea.
Mimi mwenyewe rship ya mwanzo ilivyovunjika sikulala ile wiki japo hakuna nilichopoteza.
Nikikumbuka huwa nacheka jinsi nilivyokuwa zwazwa.
ππππππWeee usinambie tayari keshakorezwa??πππ!!
Na mbona naona bado sana mie Saint Anne sema kweri walai??π€π€π€£π€£π€£ππ