Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lizzy nipo na watoto wangu tumepumzika 😊😊😊
IMG_20220906_152434_edit_6072199216781.jpg
 
Yah nilipata stress.
Nikawaza huyu mbona ameamua hivyo wakati tulikubaliana vizuri kusubiri nimalize shule ndipo tuanze mambo mengine.
Zikaanza pilika pilika za ugomvi ili ipatikane sababu.
Nikagive up kweli.


Watu wakawa wanasikitika Hawa watoto vipi tena,akawa anajiwahi kuwa eti nilipoenda shule nikawa busy.
Sasa wazazi watupe ada halafu nizembee kusoma nidisco!
Masomo tu yalikuwa yananipeleka puta.
😊😊😊😊 Dah! Ila una uzoefu hata wa kuwa na mtu.. Kwaiyo huwezi pata stress zingine
 
Ohooo umzanie ndie kumbe siye kungwi huyo
Mdomo komaa 😷😷
Mapee yamewapata wenyeweee πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
Weraweeraaaaaaaaaaaaaa... in cocastic voice!!
Inapendeza sanaaaa🀸 πŸ‘πŸ‘βœŒοΈ
Saint Anne sina budi kusema

"Kila lenye kheri mamaa"😘
Tunakumbushana tu lakini
"love is a war ..it is a battle"
 
Weee usinambie tayari keshakorezwa??πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰!!
Na mbona naona bado sana mie Saint Anne sema kweri walai??πŸ€”πŸ€”πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakuna mtu ambaye hajui kupenda.
Mungu alituumbia upendo..
Kazi ni kupata mtu unayempenda na yeye anakupenda.


Mimi napenda kwa moyo wote😁
 
Back
Top Bottom