Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

ukiona amelata tabiri ya kifo hapa, ujue wameshamaliza kazi...

ukiona ameleta mbw3mbwe za kuwaponda wanamtandao, ujue ametumwa kusafisha hali na kupata uaminifu...

huyu jamaa ni mtu wao 100%.
Aisee! Kwahiyo na lile la 'brother' wamelenga nini?
 
Chief unisamehe sana, Kuna lugha sipendagi kuziongea kama nikiziongea nikakukwaza unisamehe and God may bless you.

Sasa unaniuliza kazi ya coal kwenye Cement industry? Sio huko tu mpaka power plant ya coal plant ya 50MW...

Kwenye cement factory kuna kitu kinaitwa Kiln, hapo unachoma Red soil + Clushed stones = clinker, clinker + gypsum = cement..
Hapo kwenye kuchoma ndio tunazungumzia sasa coal..

Ukitaka kujenga kiwanda cha Cement nitafute.

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani
Kwa uelewa wote huo, kwanini Dangote alikuwa anaagiza kutoka S.A mara ya kwanza na kiwanda chake kipo kusini.

Alipolazimisha kununua makaa ya mawe Tanzania; akaomba alete lorry zake kwanza,

Where was, Dangote, business logic on his strategic planning?
 
Haya mambo sasa mnazidi kutuchanganya TU... Hii comment Yako kama ni kweli kwamba RA mine yake Bado haijastabilize ukilinganisha na Ruvuma coal mine... Je, attack ya pole2 kwamba RA anafisidi nchi kwa kujimilikisha mgodi wenye makaa ya mawe ya kuvunwa kwa miaka 400! Ni sahihi? Kama ndivyo ilivyo, mgodi wa Ruvuma coal utavunwa kwa miaka mingapi? Na je huu nao unamilikiwa na RA?

Wanasiasa wengi wa Tanzania hawajui mambo mengi kwenye uhalisia zaidi ya maneno ya juu juu ambayo mwisho wa siku yanaleta taharuki kubwa kwenye jamii na mifarakano.

mmiliki wa Ruvuma Coal sio RA na RA hana uhusiano wowote na Ruvuma Coal.
Ruvuma Coal ndio large producer wa coal Kwa sasa, hata hayo malori yanayokwenda Mtwara port 70% ni Ruvuma Coal.

Soko la Makaa ya mawe duniani ni unpredictable maana Dunia inakwenda kwenye green energy na coal huwa inapollute mazingira, ndio investment zake huwa ni kitendawili maana hata Bei Iko chini vs cost/tone production.
Nje ya Europe ambako ndio Kuna bei nzuri na ambao pia wanatoka kwenye matumizi ya coal, wanunuzi wengine ni China, India, Pakistan nk ambako bei ni changamoto sana lakini na wenyewe wanatoka huko.

Coal kwasasa sio sustainable business unless una order tayari mkononi ya volume ya kutosha kama ambavyo Ruvuma Coal alivyo kwa sasa..

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudan
 
Chief unisamehe sana, Kuna lugha sipendagi kuziongea kama nikiziongea nikakukwaza unisamehe and God may bless you.

Sasa unaniuliza kazi ya coal kwenye Cement industry? Sio huko tu mpaka power plant ya coal plant ya 50MW...

Kwenye cement factory kuna kitu kinaitwa Kiln, hapo unachoma Red soil + Clushed stones = clinker, clinker + gypsum = cement..
Hapo kwenye kuchoma ndio tunazungumzia sasa coal..

Ukitaka kujenga kiwanda cha Cement nitafute.

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani
Kwa hiyo jamaa anasingiziwa, mkuu Aziz.
Mimi napenda facts zana KWA kulinganisha pande mbili
 
Inaonekana rost tamu alimwagia mpaka ndani kabisa akapewa mgodi kwa bei chee maimeni yaan billion 5 mgodi una thamani ya kuchimbwa miaka zaidi ya 400 kweeli kuna waahuni wanajua kumbato sio utani unatoa billion 5 unaingiza zaidi ya billion 500 halafu mama yako anabaki anachekelea tu, ndio maana kuna mtu alisema hii Katiba hii siku akitokea rais Mwendawazimu kichaa Mjinga hana akili ataiuza Nchi yote tena kwa bei ya Hasara kabisa afunge hesabu alale mbele
Unatumia Id fek, halafu bado unaogopa hata kuandika Rostam Azizi! Sasa huu sindio woga wa kijinga!!?? Kwa ujinga huu, mabadiriko tutasubiri sana!!
 
Wanasiasa wengi wa Tanzania hawajui mambo mengi kwenye uhalisia zaidi ya maneno ya juu juu ambayo mwisho wa siku yanaleta taharuki kubwa kwenye jamii na mifarakano.

mmiliki wa Ruvuma Coal sio RA na RA hana uhusiano wowote na Ruvuma Coal.
Ruvuma Coal ndio large producer wa coal Kwa sasa, hata hayo malori yanayokwenda Mtwara port 70% ni Ruvuma Coal.

Soko la Makaa ya mawe duniani ni unpredictable maana Dunia inakwenda kwenye green energy na coal huwa inapollute mazingira, ndio investment zake huwa ni kitendawili maana hata Bei Iko chini vs cost/tone production.
Nje ya Europe ambako ndio Kuna bei nzuri na ambao pia wanatoka kwenye matumizi ya coal, wanunuzi wengine ni China, India, Pakistan nk ambako bei ni changamoto sana lakini na wenyewe wanatoka huko.

Coal kwasasa sio sustainable business unless una order tayari mkononi ya volume ya kutosha kama ambavyo Ruvuma Coal alivyo kwa sasa..

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudan
Good post (though not my reply).

Muda wa kujibizana tena sina.

You win 🏆 🥇 🏅

Have a blessed day
 
Lis.u alitumiwa kama toilet paper jukumu lake lilipoisha ikatakiwa afanyiwe elimination ili jukumu jingine lianze la kumchafua jpiem Mungu alivyo wa ajabu lengo limefail na eliminator wanatumia njia ingine kumzibiti, kama aliedhani mtesi wake keshafariki kwanini bado anateseka kwa njia ingine? Hii inamaanisha mtesi wake bado yupo
Questions from an innocent inquirer:
1) Why Samia alienda kumwona huko Nairobi?

2) Why lile tamko la JPM mbele ya kamati ya madini ya Osoro then muda si mrefu TAL akashambuliwa?

3) Zuio la Bunge kuhusu matibabu ya TAL?

4) Kuzuia TAL asiombewe (sijui kama nimepatia hapa)?

5) Kufutwa ubunge wa TAL?

6) Kutofanyika uchunguzi wa kuridhisha (passive treatment) katika lile tukio?

7) Mpaka inadaiwa CCTV ziliondolewa eneo la tukio?

8) Kutolipwa mafao yake ya ubunge na pesa za matibabu (rejea scandal ya Wenje)?

Nani ni suspect zaidi hapa - serikali ya JPM ama R?

Let's say serikali ilijua nani alimfanyia lile shambulio, lakini wakampuuza TAL kwa sababu waligundua alikuwa akitumika vibaya dhidi ya utawala?

Kwamba shambulio lilifanywa na wale waliomtuma kwa lengo la ku-cover tracks na kuzidi kumchafua JPM?

JPM hakuusoma mchezo huo na kuweza kujisafisha kwa kuanzisha uchunguzi dhidi ya wahalifu halisi - au aliona TAL anastahili alichotendewa hata kama yeye JPM angelaumiwa?

NB: Niseme mm ni pro-JPM hadi kesho kutwa. Najua mengi mengi mno mazuri aliyotenda. I only need honest answers.
 
Kwa uelewa wote huo, kwanini Dangote alikuwa anaagiza kutoka S.A mara ya kwanza na kiwanda chake kipo kusini.

Alipolazimisha kununua makaa ya mawe Tanzania; akaomba alete lorry zake kwanza,

Where was, Dangote, business logic on his strategic planning?

Quality and price Mzee.

Coal ya Tanzania Ina moisture content kubwa, cost ya SA price ni ndogo.

Cost/tone production SA Iko Chini sana wanatumia surface miners kwenye mining zao na sio excavation.

Wagons zinareduce production kubwa na zinabeba mzigo mkubwa kutoka Mpumalanga to Richard bay.

Dangote alitaja apewe kitalu chake cha makaa achimbe mwenyewe na asombe mwenyewe.

Tafsiri afanye mining auze coal pia, kumbuka ana cement factory Zambia na Ethiopia pia.

Akiuza na kutumia mwenyewe ingeweza kumpa balance.

Plant yake ya Mtwara ni 5000t/day ndio largest producer akifatiwa na twiga na Tanga 4000t/d, sina uhakika na Xinhua Kwa sasa pale Tanga.

Hata Tanzania tungekuwa wajanja tulipaswa kutandika reli kutoka pale Luanda/Kitai to Mtwara port, maana yake malori yasingetumika ingekuwa wagons tu to Mtwara port.

Ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani
 
Hakuna ambacho hatujawahi kukisikia kuanzia biashara ya makaa ya mawe, Rostam Aziz, Petra Diamond, Symbion Power nk.

Hakuna nchi isiyo na billionaires, na hawa ndiyo wanakuza uchumi na ajira. Tuache wivu tufanye kazi.

Whether kanunua mgodi kwa bei rahisi tusubiri CAG atasemaje. Ila makaa ya mawe hayawezi kubakia Namtumbo kama udongo lazima yachimbwe na yakatumike. Ule siyo udongo kusema utalima mahindi
kuna mtu amekataa makaa yasichimbwe?
 
Huwa nawaelewa sana kobaz wanaposema Mwanamke ni mlezi wa familia tu na sio uongozi
Sisi wavaa kobaz hatuna kona kona kama nyie wenzetu Wagalatia. Na ndio maana sisi huwezi sikia mtu anajiita nabii akitokea shingo yake tunaigombea.

Hata ukichunguza utaratibu wetu hatupendi kushabikia sana mambo ya kisiasa tunaona ni mambo ya kidunia ukitaka kutujua ingilia kule elimu ahera ndio utatujua.

Halafu ushangae sasa sisi tunaweza sema wagalatia wako mbali sana kielimu dunia kuliko sisi wao wana mpaka elimu za falsafa na saikolojia cha ajabu sasa wagalatia kuingizwa mkenge ni rahisi sana.

Kumuingiza kingi mvaa kobaz inabidi ujipange sana. Mnamkumbuka yule babu wa Loliondo na kikombe chake hadi viongozi waliingizwa kingi, mnakumbuka huyu muuza mafuta ya upako na chumvi ya mawe?
 
isipokuwa Mimi. ukiyapa nafasi maisha ya rohoni, utabaini haya ya mwilini ni illusion, utayadharau. ni ubatili mtupu
Utuhakikishie kwanza ulishawahi kuwa navyo ukavigawa kwakua umeamua kumfuata Kristo otherwise, hiyo ni lugha ya kujifariji
 
Back
Top Bottom