Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,199
- 10,837
kwa mtizamo wako, 'jipya" ni niniHakuna jipya kutoka kwa britanicca labda kwa washamba tu. Umaskini na chuki kwa matajiri utawaua kabla ya umri zenu.
kwa mtizamo wako, 'jipya" ni niniHakuna jipya kutoka kwa britanicca labda kwa washamba tu. Umaskini na chuki kwa matajiri utawaua kabla ya umri zenu.
Kwa hiyo alijua yote haya kabla? Kwa hiyo, ni team wao? Hatari sana.kwa mtizamo wako, 'jipya" ni nini
Haya ndio ulijiapiza utayaleta!? Ahahahahaha!! Mbona yote haya tunayajua?Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA.
Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 .
Blaza alipochomoka jamaa akamvaa Mama na kumuimbisha, Mama akaingizwa kingi, zikalipwa US 385 million!.
Jamaa akainunua Petra Diamonds na ndiye mfadhili wa Royal Tour.
Na sasa RA ndo anaiendesha serikali ya Malawi hapo kwa 100%
Huyu huyu RA baada ya kaka Fulan wa Upinzani kuanza kuingilia masuala ya Makaa ya stone akapiga simu muda huo huo
Kwa Marco Chilya kwamba kijana awekwe ndani na hakujua chaji ipi apewe kwa muda huo hadi walipowasiliana zaidi kupitia namba 071500...56,
Lissu yuko ndani kwa maelezo ya Rostam mkuu wa kaya kwa kuwa wameingilia ugali wao.
Hii ya makaa ya Mawe kupitia sasa kwa Athumani Kilatimi wa Lindi amepewa jukumu la kumsaka Humphrey Polepole !!
Baadae naendelea hii ni 1/100 hints za Uzi ujao
Ndiye inasemekana ni rafiki ya Abdullah ??! Au siye ??!Kuna kinda fulani nalo linaanza kuwa kama RA.
SAMEER KARIM ALIBHAI mjukuu wa marehemu mwenye shoppaaz.
Put an eye on this kid.
Nini kifanyike baada ya hili simulizi ?Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA.
Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 .
Blaza alipochomoka jamaa akamvaa Mama na kumuimbisha, Mama akaingizwa kingi, zikalipwa US 385 million!.
Jamaa akainunua Petra Diamonds na ndiye mfadhili wa Royal Tour.
Na sasa RA ndo anaiendesha serikali ya Malawi hapo kwa 100%
Huyu huyu RA baada ya kaka Fulan wa Upinzani kuanza kuingilia masuala ya Makaa ya stone akapiga simu muda huo huo
Kwa Marco Chilya kwamba kijana awekwe ndani na hakujua chaji ipi apewe kwa muda huo hadi walipowasiliana zaidi kupitia namba 071500...56,
Lissu yuko ndani kwa maelezo ya Rostam mkuu wa kaya kwa kuwa wameingilia ugali wao.
Hii ya makaa ya Mawe kupitia sasa kwa Athumani Kilatimi wa Lindi amepewa jukumu la kumsaka Humphrey Polepole !!
Baadae naendelea hii ni 1/100 hints za Uzi ujao
sijakwelewa ndugu.Kwa hiyo alijua yote haya kabla? Kwa hiyo, ni team wao? Hatari sana.
Akimaliza kushusha nondo utachukua hatua zipi kukabiliana na situesheni hiyo ?Nakupata vyema hapo comrade endelea kushusha nondo
Ni huzuni sanaWabongo tutakavyojazana kwenye uzi ufafikiri tuna kitu cha kuwafanya hao mafisadi.
Put it this way, swala lote nimelifikiria kibiashara ndio msingi wa kuona umeandika ujinga na akili bandia ilipo,Sio kosa lako maana umejaza theory za shule kichwani ujue namna game inapigwa kwenye floor.
Nilichokuandikia ndio fact ya kwenye ground maana hapa unaongea na Guru kwenye hizo medani sio mtoto wa shule.
Unahitaji kujifunza sana namna biashara kubwa na projects kubwa zinavyoendeshwa Vs financial modal zake.
eti ChatGPT hahahaha.
ndani ya mitaa ya Khartoum Sudan
Awamu ya 4 Ndoo ilileta hili Balaa kwa Nchi Yetu. Jamaa yule aliyekuwa ameshika usukani kipindi hicho nadhani ana matatizo ndo maana kipindi kile Mchonga alisema kuwa subili kwanza Akomae wakati alikuwa already ni Kijeba.Mwaga vyuma hivyo na rost tam aziz ndio Mmiliki wa Tanzania kwa 100% umesema?
Hakuna ambacho hatujawahi kukisikia kuanzia biashara ya makaa ya mawe, Rostam Aziz, Petra Diamond, Symbion Power nk.kwa mtizamo wako, 'jipya" ni nini
Alikuwa na cheo gani cha kimaamuzi serikalini ?Ndugai yupo wapi?
Tatizo sio RA, bali serikali ya CCM chini ya uongozi mbovu sana wa Hangaya.Hakuna nchi inakosa watu kama Rosti-tamu...hao ndio wanaitwa wajenzi huru wenyewe
Ewaaaah !Meremeta, Tangold, Kagoda, Liganga na Mchuchuma, Radar, EPA, Ndege ya Rais, IPTL, Richmond, majengo pacha BOT, Escrow, Net proof ya Tanesco nk..
Sidhani kama ukiongelea ufisadi Tanzania utatoka nje ya hapo.
ndani ya mitaa ya Khartoum Sudan.