Yan kama Raymond Reddington vile wa Blacklist.Hakuna nchi inakosa watu kama Rosti-tamu...hao ndio wanaitwa wajenzi huru wenyewe
Agent wao hapa jf ni Tumia akili
Tutaenda kuangalia mechi ya Madagascar vs Morocco kwenye mitaa ya Nyayo Kasarani karibu na Gatundu kwa mzee wetu Harambeeee !!! 🙌🤷🏿♂️Akimaliza kushusha nondo utachukua hatua zipi kukabiliana na situesheni hiyo ?
Wabongo jau sana. Wao wanapenda vi story story tu.Tutaenda kuangalia mechi ya Madagascar vs Morocco kwenye mitaa ya Nyayo Kasarani karibu na Gatundu kwa mzee wetu Harambeeee !!! 🙌🤷🏿♂️
ukiona amelata tabiri ya kifo hapa, ujue wameshamaliza kazi...Huyu mwamba namheshimu sana
Mpaka Polepole atakapo ona Umuhimu wa Katiba mpya ya Nchi ndipo labda kunaweza kuonekana mwanga wa sasa nini kifanyike ili kuirekebisha Nchi !Nini kifanyike baada ya hili simulizi ?
Kama hakuna kinachobadilika sioni umuhimu wa hizi simulizi maana ni sawa na kumringishia mtu asiye na nauli ya daladala raha ya kusafiri na ndege.
Tunachotaka mishahara itoke tarehe 23 sio kingine kama kuna mnada kashindane na ww upate tenda ya kuiendesha tz ili tupate mshahara chini ya tarehe ya costume 23Mwaga vyuma hivyo na rost tam aziz ndio Mmiliki wa Tanzania kwa 100% umesema?
Put it this way, swala lote nimelifikiria kibiashara ndio msingi wa kuona umeandika ujinga na akili bandia ilipo,
Unataka nikuonyeshe ujinga wako ulipo?
I am too if you wish.
Watz hawahitaji mabadiliko ila wanahitaji story za mabadiliko ili wawe wanajadili kwenye social midia.Mpaka Polepole atakapo ona Umuhimu wa Katiba mpya ya Nchi ndipo labda kunaweza kuonekana mwanga wa sasa nini kifanyike ili kuirekebisha Nchi !
Polepole kwa sasa yeye ana deal na CCM yake tu ambayo nayo yaelekea imesha mpuuza !
Safari bado ni ndefu 😳🤷🏿♂️!
Kifo cha mwendazake ilikuwa uzembe wa maofisa wetu wa ikulu isee yaani mnaona kabisa watu wanapuputika sababu ya corona then mnamwachia mkuu afanye dhiara zza hadharani kizembe vile na ilhali ni mgonjwa wa moyo.Na anahusishwa kwa 100% na kifo cha Jiwe !
Yule hawamwachi maan kuachiwa kwake ni km moto kwa rostam.Kwa hiyo Lissu ataachiwa kwa Maelekezo ya Rostam?