Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Quality and price Mzee.
Coal ya Tanzania Ina moisture content kubwa, cost ya SA price ni ndogo.
Cost/tone production SA Iko Chini sana wanatumia surface miners kwenye mining zao na sio excavation.
Wagons zinareduce production kubwa na zinabeba mzigo mkubwa kutoka Mpumalanga to Richard bay.

Dangote alitaja apewe kitalu chake cha makaa achimbe mwenyewe na asombe mwenyewe.
Tafsiri afanye mining auze coal pia, kumbuka ana cement factory Zambia na Ethiopia pia.
Akiuza na kutumia mwenyewe ingeweza kumpa balance
Plant yake ya Mtwara ni 5000t/day ndio largest producer akifatiwa na twiga na Tanga 4000t/d, sina uhakika na Xinhua Kwa sasa pale Tanga.

Hata Tanzania tungekuwa wajanja tulipaswa kutandika reli kutoka pale Luanda/Kitai to Mtwara port, maana yake malori yasingetumika ingekuwa wagons tu to Mtwara port.

Ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani
With ChatGPT life seems easy.

Mimi kwa kukusoma najua una uelewa wa biashara in generał.

Ndio maana nimekupa ushindi.

Sasa usilazimishe debate ambayo, una uelewa logical thinking zake.

Deep down you know the truth, uwezo wako ni mambo ya kutoka kichwani kwako na akili mnemba.

It’s obvious.
 
With ChatGPT life seems easy.

Mimi kwa kukusoma najua una uelewa wa biashara in generał.

Ndio maana nimekupa ushindi.

Sasa usilazimishe debate ambayo, una uelewa logical thinking zake.

Deep down you know the truth, uwezo wako ni mambo ya kutoka kichwani kwako na akili mnemba.

It’s obvious.

hahahahahahaha, sisi wengine ni tayari ChatGPT kwenye baadhi ya maeneo, have a good day, Cheers.

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudan
 
Mnahangaika sana, Samia yupo mpaka 2030. Aliyoyafanya huko mikoani yanatosha kabisa kumrudisha ikulu.

Hizi story za kijiweni za kimbea hazina tofauti na yote anayoyaongea Mange Kimambi, maneno ya kufurahisha baraza.

Hata kama anarudi, mtashindwa kunyamazisha sauti za wananchi mtandaoni, elewa hicho. Tuna haki ya kuwa na maoni. Yale mambo ya kihuni yaliyopitiliza mliofanya awamu ya 4 mtashindwa, yamepitwa na wakati. Dunia imefunguka. Hamna kitu mtaweza kufanya ndani ya nchi kisitoke nje. Na ndio kinachoponza vijana watukutu, wamekuwa wajeuri, sasa vitu vyao vimeanikwa na vinaaibisha mtandao mzima.

Hela zinazoibwa, mali zinazonunuliwa ndani na nje ya nchi, hata mkitumia diplomatic passports, mnaacha footprints kila mahali, na mna-advantage ya ufisadi na uharibifu serikalini ambao hai-hold wahalifu accountable but from anywhere at anytime ikitokea serikali ndani au nje ya nchi ambayo iko ready kuwa serious na kuforce wezi na wauaji kuwajibika justice will be served -- inaweza ikachuka miaka 10, 20, hata 100 -- kila kitu kitajulikana na Mungu anavyotujali justice delayed isn't justice denied -- watayapata kotekote.

Kuiba na kutakatisha hela mnabreak international laws -- lakini mkiletewa ushahidi serikali ifanye kazi yenyewe hamna kinachofanyika miaka nenda rudi (allegedly). Mnapewa sovereignty mnaimis-use (allegedly). International co-operation kupinga uhalifu upo -- simumeona Teddy alivyonyanganywa nyumba Paris na magari Geneva -- ndio maana kuna wenye viwanja mia hapa nyumbani (allegedly) -- it is easier kumake sure serikali ya hapa inabaki ilivyo kuliko kurisk kunyanganywa mali huko nje.
 
Hakuna namna ni kama Gupta kule SA. Rostam ana utajiri mkubwa sana na hali zetu za uchumi za hand to mouth ni lazima awe na leading hand.

Hata Hayati John M. Alijaribu kumpunguza makali kibabe lakini baadae ilibidi akae nae meza moja.

Anamiliki.Tigo. Caspian. Makaa. Bandarini alikuwepo Ticts na yasemekana bado yupo kwa kivuli kingine. Ni mtu anayehitajika kunyoosha mambo. Huwezi kumkwepa yaani kama Ruto hawezi kumkwepa Uhuru kenyata kwa pesa aliyonayo inavyoendesha uchumi
 
Ruvuma coal
Ruvuma coal
Rostam aziz
Jakaya
Samia
Ccm
Polisi
Courts
 
Roz Tam alituhumu mahakama kupigiwa simu na kutoa hukumu kumbe nae anapiga simu 1 tu mtu anakula kesi ya uhaini? Au alitaka yeye ndo awe mmiliki wa simu 1 tu kwa mihimili yote ya dola hakutaka mshindani?
 
Kichwa cha habari kwa mtindo wa kuuliza, ni mleta mada aliweka mada yake kama swali au ni Mods ndio wameiweka hiyo heading kwa mtindo wa swali?
 
Back
Top Bottom