Slow slow tangu alivyodhangilia LM kukatwa jina na msajili nimegundua na yeye ni inside project...Wapo ku raise adrenaline za watu kumbe ni wale wale in different facests...Inamaana hii inahakikishia mtu kutokuwa na risk hata 5%We jamaa utakuwa ndiye Hamphrey Polepole sio bure,kwa nondo hizi mtu wa kawaida hawezi kuzijua. lakini unatoa hizi nondo kwa faida ya nani na kwa nini?