Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA.

Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 .

Blaza alipochomoka jamaa akamvaa Mama na kumuimbisha, Mama akaingizwa kingi, zikalipwa US 385 million!.

Jamaa akainunua Petra Diamonds na ndiye anayedhaniwa kuwa mfadhili wa Royal Tour.

Na sasa RA ndo anaiendesha serikali ya Malawi hapo kwa 100%

Huyu huyu RA baada ya kaka Fulan wa Upinzani kuanza kuingilia masuala ya Makaa ya stone akapiga simu muda huo huo

Kwa Marco Chilya kwamba kijana awekwe ndani na hakujua chaji ipi apewe kwa muda huo hadi walipowasiliana zaidi kupitia namba 071500...56,

Lissu yuko ndani kwa maelezo ya Rostam mkuu wa kaya kwa kuwa wameingilia ugali wao.

Hii ya makaa ya Mawe kupitia sasa kwa Athumani Kilatimi wa Lindi amepewa jukumu la kumsaka Humphrey Polepole !!

Baadae naendelea hii ni 1/100 hints za Uzi ujao
SAWA
 
Kwa Marco Chilya
CB5B9F0C-485E-4B00-9900-A27BDE29C7CB.jpeg
 
Kikwete ni Karani wa Rostam, Rostam anafanana na Mhindi mmoja South Africa Gupta, unaposikia scandal kubwakubwa South Africa basi Gupta lazima awe nyumba ya camera.

Tanzania Rostam Aziz, huyu alikuwa amehibernate tu, sasa amerestart software katika version za kisasa zaidi.
😂😂😂😂😂
 
ikumbukwe kuwa polepole awali hakuwa akimuongelea Rostam Aziz, yeye alikuwa kajikita kukosoa mchakato wa uteuzi jins la mgombea Urais kwa tiketi ya ccm, ndipo Rostam Aziz kwa kihere here chake akadandia ligi kwa mbele akizani polepole hana File zake kumbe anamjua vizuri kuliko anavyojijua mwenyewe, sasa Rostam anajuuta kumchokonoa Polepole maana kamvua nguo zote kila mmoja anajua kuwa Rostam ni mwizi wa Rasilimali za Nchi na ndiye alimuua magufuli
Yaan kwa jinsi mioyo ya watz ilivyopondeka juu ya hizi taarifa mbaya zinazomhusu ROSTAM, ni ngumu sana kuwa huru kama zaman, na sasa kila atakaye kuwa karibu na yeye ataona anachafuliwa maana ishajengwa image mbaya kumuhu yeye kwenye jamii, uyu jamaa siku zake zinahesabika, trust me.
 
Huwa nawaelewa sana kobaz wanaposema Mwanamke ni mlezi wa familia tu na sio uongozi
Sio Kobaz tu japo Kobazi wao msisitizo ni mkubwa zaidi.Hata Wakatoliki nao wana misimamo.
Ona haya madhehebu ambayo yameruhusu yanavyopiga kelele na kudanganya watu kwa tozo za kumtunza mchungaji.
Ushawahi sikia wakatoliki wanachanga kumnunulia padre gari? sana sana wao wanaweza changa kujenga kanisa.
 
Back
Top Bottom