CHIEFMANGU
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 499
- 736
Mzee Kikwete ameongea jambo la busara sanaaa, japo Kwa uzoefu wangu, viongozi walio wengi wakisema "kuchanganya dini na siasa" Huwa wanawalenga wanaowakosoa tu, wakisifiwa msikitini au kanisani huwezi kusikia kamwe wakikemea...
Ukiachilia mbali maoni yake juu ya kuchanganya dini na siasa, atwambie pia kama MKATABA huh anauona kuwa sawa au lah... Samia ametuangusha mno kwenye hili jambo, anafanya watanzania wengi kumkumbuka Magufuli wao!
Ukiachilia mbali maoni yake juu ya kuchanganya dini na siasa, atwambie pia kama MKATABA huh anauona kuwa sawa au lah... Samia ametuangusha mno kwenye hili jambo, anafanya watanzania wengi kumkumbuka Magufuli wao!