dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Sasa hiyo Mikataba ameijuaje athari zake wakati lugha ya mabeberu haipandi??Na katika gesi alichelewa, akakuta maji yameishamwagika.
Halafu unakuta kuna mpumbavu anajisikia vibaya kisa magufuli haongei kiingereza fasaha, hapa ndio utajua kila binaadam ana kipaumbele chake.