Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,367
- 17,915
Swali zuri kijibu ninukuu.Kwahiyo alimwambie achukue fomu ili kuulinda huo mkataba au?
Swali zuri kijibu ninukuu.Kwahiyo alimwambie achukue fomu ili kuulinda huo mkataba au?
Magufuli hawezi na hajawahi kukubaliana na mkataba wowote ulioingiwa bila yeye kushirikishwa ( kupewa DEAL ).
Ukitaka kujua hilo muulize Kangi Lugola.
Yeye tu ndio MR PERFECT and PROCURER IN CHIEF.
Wakati anaingia madarakani alikuwa anaponda sana sheria ya manunuzi, kumbe alitamani yeye ndio MNUNUZI Mkuu.
Huyu jamaa sijui kaokotwa wapi aisee. Daaah
Wewe ndye mlevi na mpumbavu unaambiwa vitu hewa unaamini. Mikataba mikubwa ya namna iyo hujadiliwa na bunge nje ya hapo ni batili.
Sent using Jamii Forums mobile app
China ni beberu tena?Rais Magufuli tunakuamini Baba
Tulinde na hawa Mabeberu
Tujielimishe PPRA -2016 inasemaje?Halafu wakat huo amana kuna ventilator 1.
Hahahaaa sintowaangusha!!
Sent using Jamii Forums mobile app