bagamoyo port

Bagamoyo, Tanzania, is a town founded at the end of the 18th century, though it is an extension of a much older (8th century) settlement, Kaole. It was the capital of German East Africa and was one of the most important trading ports along the East African coast along the west of the Indian Ocean. In 2011, the town had 82,578 inhabitants and is the capital of the Bagamoyo District.

View More On Wikipedia.org
  1. Nsanzagee

    Mradi wa Bandari ya Bagamoyo uliingia laana baada ya wakazi wake kudhulumiwa na EPZ

    Bagamoyo ni Bagamoyo tu na siyo Sehemu nyingine yoyote. Wazee wa Bagamoyo waliwahi kumzuia Magufuli kupitisha barabara kuu inayoelekea Tanga kutokea Dar isipite mjini kwa sababu barabara hiyo ilitakiwa kwanza, kubomolewa kwa nguzo moja hivi ya kimakumbusho ambayo pia hutumika kwa mambo ya...
  2. Memento

    Makamu Mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga Gati sio Bandari

    Mzee Mangula anasema kwenye ilani ya CCM 2020-25 hawakuahidi bandari ya bagamoyo bali waliahidi ghati tu. Hivyo anashangaa mjadala wa ujenzi wa bandari bagamoyo unatoka wapi. Mzee Mangula hapa nadhani wa kumuuliza zaidi ni mwenyekiti wake ambae alisema ana habari njema kuwa wamefufua...
  3. mike2k

    Mradi wa Bandari ya Bagamoyo kuna jini?

    Katika miongo miwili iliyopita, tumeshuhudia uwekezaji mkubwa ukifanywa na Serikali ya Tanzania kwenye miundo mbinu ya usafiri na usafirishaji. Ukiacha ujenzi wa barabara ulioongeza mtandao wa barabara nchini humo hadi kufikia zaidi ya kilometa 86,000, kuna miradi ya Reli ya SGR iliyowekezwa...
  4. Pile F

    Bribery and corruption: Athreat to an early Bagamoyo Port

    Habari gani Wakuu ninaamini mpo vyema kabisa. Naomba Moja kwa moja niende kwenye mada Tanzania ni Taifa lenye bahati kubwa. Wazo la bandari ya Bagamoyo ni la kipekee na Mataifa Mengi yangeona yapo nyuma mno kama nchi ya Tanzania ingekuwa na hii bandari leo. Mradi huu umeachwa na kuchelewa kwa...
  5. Linguistic

    Je, Bagamoyo Port itakuja kuwa White Elephant Port?

    Nadhani Huo Mkataba utafanyiwa variation. Kuna mambo mengi yameshabadilika. Bandari ya Dar es Salaam upanuzi umeshaanza au kukamilika, bandari ya Tanga kuna jambo linaendelea pale. Kwamba tulikuwa tunauhitaji mradi huo hilo lilikuwa bayana. Tatizo lilikuwa ktk terms and coditions. Hata Rais...
  6. Geza Ulole

    Bagamoyo port is back

    Tanzania in talks with Chinese investor to revive Bagamoyo Port, says President Samia SATURDAY JUNE 26 2021 Summary The $10 billion Bagamoyo project construction was suspended by late president, John Magufuli on January, 2016. By Bethsheba Wambura More by this Author Dar es Salaam...
  7. Kurunzi

    Bandari ya Bagamoyo Ijengwe au Isijengwe? Soma Makala hii Tujadili

    MIAKA sita iliyopita, Mradi wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania ulikuwa ukitajwa kama mmoja wa miradi ya kimkakati yenye fursa kubwa ya kuzimua uchumi wa taifa hilo. Midomoni kwa watumishi wa umma na viongozi wa serikali, neno bandari ya Bagamoyo halikutoka. Hata hivyo, miaka...
  8. Offshore Seamen

    Bandari ya Bagamoyo ijengwe kama Bandari ya kimkakati isifanye kazi zinazofanywa na bandari ya Dar

    Bandari ya Bagamoyo ijengwe kama bandari ya kimkakati iwekewe gari(berth) ambazo bandari nyingine hazina. Pia ujenzi wake kama utapitishwa itabidi tenda itangazwe upya na mzabuni atakayeshinda ndio atajenga tusimkumbatie mchina hata kama ni rafiki yetu. Tanzania tangu tupate uhuru hatuna...
  9. K

    Wachina wanasubiri Rais Magufuli aondoke kwenye bandari

    Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni. China watahakikisha wanatumia kila namna...
  10. S

    Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo waweza kurejea rasmi hivi karibuni

    Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ambao wafuasi wa Chama cha Lumumba walidai ni wa kinyonyaji unatarajiwa kurejea rasmi. Sasa Bagamoyo kuwa kama Dubai. ======== Discussions are ongoing to get the China-backed US$10 billion Bagamoyo Port project in Tanzania, which was “suspended indefinitely” by...
  11. esther mashiker

    Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

    RAIS John Magufuli amesema sababu kubwa ya kusitishwa kwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni masharti magumu yaliyomo katika mkataba wa utekelezaji wa kazi hiyo. Jiwe la msingi la ujenzi wa bandari hiyo liliwekwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete mwaka 2015 na ulitarajiwa kugharimu dola za Marekani...
  12. winnerian

    Tanzania's China-backed $10bn port plan stalls

    Tanzania's China-backed $10bn port plan stalls Thursday May 23 2019 IN SUMMARY In 2013, Tanzania signed a framework agreement with China Merchants Holdings International to build the port and a special economic zone. But Tanzaia says the conditions given are not economically viable, hence it...
  13. C

    Tanzania yasitisha ujenzi wa bandari kubwa Africa, Bagamoyo Port

    Niamnini nchi yetu ni kichwa cha mwendawazimu, we do have leaders with no creative ====== Tanzania Pushes Back on Chinese Port Project China’s Maritime Silk Road ambitions suffered a setback after Tanzanian officials refused to budge over stalled negotiations to build what would be the...
  14. Geza Ulole

    Bagamoyo port to start construction next month

    Shot in the arm for Bagamoyo port project MONDAY JUNE 4 2018 By DOROTHY NDALU The Bagamoyo port project, whose implementation has been marred by funding hitches and government flip-flop, could kick off this month, after Tanzania agreed with Chinese and Omani investors on a financing deal that...
  15. Geza Ulole

    China-Tanzania talks over Bagamoyo port project in progress: envoy

    Source: Xinhua 2018-05-20 02:10:55 DAR ES SALAAM, May 19 (Xinhua) -- China said on Saturday good progress was being made on negotiations with the Tanzanian government on the 10 billion U.S. dollars Bagamoyo mega port and special economic zone, paving way for the long-delayed construction work...
  16. M

    Bagamoyo Port construction contract to be inked in June

    Bagamoyo Port construction contract to be inked in June The government will sign a contract with the developer of Mbegani Port in Bagamoyo will be signed in June, this year, the Works, Transport and Communications minister, Prof Makame Mbarawa said on Monday, April 23, 2018. Requesting the...
  17. jingalao

    Bagamoyo Port construction set to kick off in January 2018. China and Oman to fund the project

    Taarifa hii nimeisikia kwenye kipindi cha magazeti asubuhi ya leo. Kila la heri wakazi wa Bagamoyo ====== Tanzania is finalising negotiations with China and Oman over the construction of Bagamoyo Special Economic Zone (SEZ) and the $10 billion (about Sh22.3 trillion) Bagamoyo Port, a minister...
  18. JokaKuu

    Bagamoyo Port: Serikali imewapa hisa zote wawekezaji wa Kichina

    Makubaliano ilikuwa ni serikali kufidia wote waliopoteza ardhi ili kupisha mradi. Kwa kugharimia zoezi hilo Tanzania tungepatiwa kiasi fulani cha hisa ktk Bandari hiyo ambayo itakuwa kubwa kuliko zote Afrika Mashariki. Sasa serikali imeshindwa kufanya hivyo na kupelekea kuukabidhi mradi mzima...
  19. Geza Ulole

    Bagamoyo port project is back with construction of 190 industries

    Chinese firm set to develop sprawling Tanzania tourist town October 3, 2017 [https://45f834269e626fd5bc92d3c0-lgqvurlx] Standing as the first town on the Tanzanian coast where early travelers anchored during their discovery missions and Christian religion expansion in Tanzania and Central...
  20. nngu007

    Don't build Bagamoyo port, shippers tell Government

    Thursday, June 11 2015 IN SUMMARY With the pace of economic development ships of over 6,000 teus will not be attracted in the coming 25 years, says the Tanzania Shipping Agents Association Dar es Salaam. As the government is planning to start constructing the Bagamoyo mega port in the...
Back
Top Bottom