Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,752
- 13,402
Had hapa Mjadara umeishaNi sawa sawa kula chakula na kuonja.. ndio tofauti yake ukiwa unapiga punyeto ni unaonja chakula ndio maana hamu haiishagi ila ukifanya tendo la ndoa mujarabu umekula chakula kisawa sawa ndio maana unaweza kukaa mda bila ya kula tena wala kuonja.. punyeto ni uzembe