SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,765
Arudi afuate nini na wewe huweziWakuu leo naweza sema ni siku mbaya saana kwangu aisee
Kuna demu nilimpangaga mda mrefu bana leo akanikubalia kidume nikajipanga kupiga shoo.
Daaah tumeingia kunako sita kwa sita daaah jamaa kaamka ila hana hata nguvu amenyongonyea naingiza nikiitoa inalala dorooo. Napambana inaamka ila haina hata nguvu.
Demu akamind akaniomba taulo akaenda bafuni akavaa akasepa akagoma hata nimsindikize kasema ataenda mwenyewee hapa nilipo nawaza sana hyu demu mempoteza hivi hvi na ni mzuri sana.
Amechukia akawa anaongea na mm kwa hasiraa yaani ata sijui kama atarudi tena kwangu maana nimefelii kabisaa.
Mimi napiga saana punyeto naomba msaada niache hii hali meabika saana yaaani.
Asile mbususu miezi 6??Nyeto Haina madhara yoyote. Shida ni kwamba umeathirika kisaikolojia na unaonekana unaangalia Sana pornography. Tiba yake ni moja tuu kunywa maji mengi, lala Sana, kula matunda na mbogamboga, fanya Sana zoezi, usiangalie pornography na uache nyeto na usile mbususu kwa muda wa miezi 6. Thank me later!
Sasa hapa ndio utaanza kuona madhara halisi ya punyeto,hili tukio litakuharjbu zaidi ya hiyo punyeto.Wakuu leo naweza sema ni siku mbaya saana kwangu aisee
Kuna demu nilimpangaga mda mrefu bana leo akanikubalia kidume nikajipanga kupiga shoo.
Daaah tumeingia kunako sita kwa sita daaah jamaa kaamka ila hana hata nguvu amenyongonyea naingiza nikiitoa inalala dorooo. Napambana inaamka ila haina hata nguvu.
Demu akamind akaniomba taulo akaenda bafuni akavaa akasepa akagoma hata nimsindikize kasema ataenda mwenyewee hapa nilipo nawaza sana hyu demu mempoteza hivi hvi na ni mzuri sana.
Amechukia akawa anaongea na mm kwa hasiraa yaani ata sijui kama atarudi tena kwangu maana nimefelii kabisaa.
Mimi napiga saana punyeto naomba msaada niache hii hali meabika saana yaaani.
Shida kubwa ya nyeto kwa upande wangu ni macho kuuma na kukosa nguvu tu basi, ila nikila carrot tatizo linaisha.Nyeto nimepiga tangu nipo darasa la 7 mpaka leo napiga na show napiga kama kawaida
Kichwa na kuzunguka shingo.Mkuu colgate unaipakia kwa wapi?au ktk neck pale
Aka kamchezo kakishetan sana mm ninamiez 5 cjagusa kbs Ila Jana nimekaa kimasihara nikaw naangalia wanawake wa insta wakikata mauno na vyupi vyao nikajikuta nimepiga tatu chap chap mungu anisaidie kijana wa watu tu Leo nisije piga maana kuna kitu kinanishaur piga mbili za mwisho Leo usiku
Wee jamaa hatarNimeamua kupiga tatu za mwisho ili mwaka ujao niende vizur
Nataka kusema hata wewe ulijiunga JF kwa sababu hiyoKufupisha stori unataka kusema kitu gani?