ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,674
- 39,443
- Thread starter
- #141
Kuna watu wanaohesabu hii kama umalaya
Kuna wengine wanaamini ni sehemu ya kujaribu mpaka umpate yule mtu ambaye mnaendana
Mimi binafsi naona kuwa na mahusiano mapya mara kwa mara sio tatizo sana
Nadhani hii hutokea pale unapokutana na mtu, mkajenga ukaribu, halafu ukagundua kwamba kumbe hamwendani
Mara chache sana utagundua hilo mwanzoni
Mara nyingi linajitokeza baada ya mazungumzo ya mara kwa mara na kuanza kujuana kwa undani
Ukikaa makini utaanza kugundua akili ya mtu kupitia maongezi yake
Namna anavyoongea akiwa na hasira, akiwa na huzuni, akiwa na furaha au akiwa kwenye...
Kuna wengine wanaamini ni sehemu ya kujaribu mpaka umpate yule mtu ambaye mnaendana
Mimi binafsi naona kuwa na mahusiano mapya mara kwa mara sio tatizo sana
Nadhani hii hutokea pale unapokutana na mtu, mkajenga ukaribu, halafu ukagundua kwamba kumbe hamwendani
Mara chache sana utagundua hilo mwanzoni
Mara nyingi linajitokeza baada ya mazungumzo ya mara kwa mara na kuanza kujuana kwa undani
Ukikaa makini utaanza kugundua akili ya mtu kupitia maongezi yake
Namna anavyoongea akiwa na hasira, akiwa na huzuni, akiwa na furaha au akiwa kwenye...
- ShesRise_1
- mahusiano mapya mara mara kwa mara mtu safari sahihi umalaya
- Replies: 321
- Forum: Mahusiano, mapenzi, urafiki