Nadhani mnakumbuka kitabu cha shule yamsingi by then cha Kiswahili wakati mtaala uko sawa sawa sio kipindi hiki ambacho mtaala mtu anakurupuka na kubadilisha au kuondoa mathalan michepuo n.k. watoto
wanakuwa viduku vitupu. Anyhow! "Siku ya Gulio Katerero" nilitaka kusema.

Hahahahaha mkuu nakikumbuka sana kumbe katerero yenyewe ipo bukoba hahahaha
 
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka kuweka kumbumbuku ya maneno mazuri ya mheshimiwa Rais Magufuli.

Duniani tuna nukuu (quotes) zawa watu maarufu kama Martn Luther king, Jr. Abraham lincoln na wengine wengi. Kwa hapa kwetu tuna nukuu za baba wa taifa mwalim Nyerere.

Sasa ni wakati mwafaka kuweka nukuu zake kwenye uzi huu. Usihofu iwe mbaya masikio mwako au iwe nzuri wewe weka tu maana lolote analo litamka mkuu wa nchi linapaswa kutunzwa.

Naweka maneno mawili matatu kuanzisha ukurasa wa maneno ya mkuu wetu.

Mimi ni raisi wa maskini wanaoshi kama malaika wataishi kama mashetani

serikali yangu haitawapa chakula Kila mtu atabeba msaba wake njaa haijaletwa na serikali

hakuna serikali iliyowahi kujenga nyumba za wahanga duniani pote. Nasisi hatujengi.

hakuna kufanya za siasa mpaka 2020 siasa huzuia maendeleo

siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa sheni kuwaingiza wapinzani

sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais , katiba sio kipaumbele changu kwa sasa nainyoosha nchi kwanza

police mkukita mtu anaendesha gari kwenye njia ya mwendo kasi ng'oa tairi uzeni

watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure

Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi kuyaongea . Ni wakati mwafaka kuweka maneno yake hapa.
Aseeee ukiandika kitabu cha nukuu hizi , utakuwa DSM best seller.
 
Unaanzaje kusahaulika sasa?
Impossible my sista.
Jamaa akitaja viunga vya Kilosa ananikumbusha madafu wakat nasoma huko,na ndo nilikozaliwa,akitaja Kilombero ndo kwa mama naendaga kula KAMBALE NA KITOGA.
Akitaja Dark City nakumbuka maisha yangu wakat naish Mazimbu Campus.
Polisi kupewa kaki kupiga viatu rangi,ruksa. Nakumbuka aliwahi kusema hivo
 
“Ukiona Mpinzani anakusifia, rudi hatua mbili nyuma jitazame umekosea wapi”

“Unakuta machinga maskini kamtaji kashilingi elfu 5 halafu unamfukuza hapa katikati, waacheni wauze maana ndio walinipa kula"

“On behalf of myself and all Tanzanians, My symphathy goes out to the people of Cuban on the death of Fidel Castro”
 
Kuhusu mikopo ya vyuo vikuu "SASA MTU ANAOMBA MKOPO KITU CHENYEWE NI MKOPO KWANN ASIPEWE?"
 
“Ukiona Mpinzani anakusifia, rudi hatua mbili nyuma jitazame umekosea wapi”

“Unakuta machinga maskini kamtaji kashilingi elfu 5 halafu unamfukuza hapa katikati, waacheni wauze maana ndio walinipa kula"

“On behalf of myself and all Tanzanians, My symphathy goes out to the people of Cuban on the death of Fidel Castro”
'Kama kuna mfanya biashara alinichangia hapa anyooshe mkono'
 
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka kuweka kumbumbuku ya maneno mazuri ya mheshimiwa Rais Magufuli.

Duniani tuna nukuu (quotes) zawa watu maarufu kama Martn Luther king, Jr. Abraham lincoln na wengine wengi. Kwa hapa kwetu tuna nukuu za baba wa taifa mwalim Nyerere.

Sasa ni wakati mwafaka kuweka nukuu zake kwenye uzi huu. Usihofu iwe mbaya masikio mwako au iwe nzuri wewe weka tu maana lolote analo litamka mkuu wa nchi linapaswa kutunzwa.

Naweka maneno mawili matatu kuanzisha ukurasa wa maneno ya mkuu wetu.

Mimi ni raisi wa maskini wanaoshi kama malaika wataishi kama mashetani

serikali yangu haitawapa chakula Kila mtu atabeba msaba wake njaa haijaletwa na serikali

hakuna serikali iliyowahi kujenga nyumba za wahanga duniani pote. Nasisi hatujengi.

hakuna kufanya za siasa mpaka 2020 siasa huzuia maendeleo

siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa sheni kuwaingiza wapinzani

sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais , katiba sio kipaumbele changu kwa sasa nainyoosha nchi kwanza

police mkukita mtu anaendesha gari kwenye njia ya mwendo kasi ng'oa tairi uzeni

watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure

Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi kuyaongea . Ni wakati mwafaka kuweka maneno yake hapa.
Ni wazo zuri. Je for posterity, unaonaje kama ungeongeza tarehe na mahali alipotuachia tunu zake.Hata quotation ya gazeti inafaa pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom