johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
bye see you soon maana muda unakaribia na ndo nmeingia home now wacha nikakoge kabiisaa! The bold hongera maana unafanya narudi nyumbani mapema viwe vijiwe vyangu sipitii kabisa tangu juzi?
bye see you soon maana muda unakaribia na ndo nmeingia home now wacha nikakoge kabiisaa! The bold hongera maana unafanya narudi nyumbani mapema viwe vijiwe vyangu sipitii kabisa tangu juzi?
Impossible my sista.Unaanzaje kusahaulika sasa?




Sijambo mkuu...Shemela Nifa hujambo Mama nakukubali kwa ushawishi wako kwa the Böld sijui umempaa nini??![]()
![]()
nawaza tuu

sawa ngoja nitafute na pozi kabisaNdani ya dakika ishirini wakuu, episode 4 inakuwa hewani!
Wifi yangu hujambo,jana hujaniita ujueSijambo mkuu...
Hakuna cha zaidi ya kumpenda kweli,kumheshimu na kumjali.
Zaidi ya yote...nampenda kweli,ndio maana yupo kwangu maridhia.![]()
Ngoja nikaoge kabisaNdani ya dakika ishirini wakuu, episode 4 inakuwa hewani!
Hahahaha watu mna hamu balaa,poleDakika 20 tayar mkuu
Pole mkuu wacha tuvute pumzi anamalizia kutype au cjui imefutika kama jana kaanza upya nn
Basi haina mbaya tunasubiri kwa hamu na mashamushamu mkuuNdani ya dakika ishirini wakuu, episode 4 inakuwa hewani!
Ndo mlivowanawake mnapenda kufanyiwa tuJidai unaoga mwaka ikianza sitakuita