Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 507
Hii nimeipenda bure..."Sadam Hussein ni rais wa Libya no....wa Kuwait"!
2015 Uwanja wa Tungamano-Tanga!
Hii nimeipenda bure..."Sadam Hussein ni rais wa Libya no....wa Kuwait"!
2015 Uwanja wa Tungamano-Tanga!
Hahaaaaaaa, huyo myself ni rais wa nchi gani?On behalf of myself
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka kuweka kumbumbuku ya maneno mazuri ya mheshimiwa Rais Magufuli.
Duniani tuna nukuu (quotes) zawa watu maarufu kama Martn Luther king, Jr. Abraham lincoln na wengine wengi. Kwa hapa kwetu tuna nukuu za baba wa taifa mwalim Nyerere.
Sasa ni wakati mwafaka kuweka nukuu zake kwenye uzi huu. Usihofu iwe mbaya masikio mwako au iwe nzuri wewe weka tu maana lolote analo litamka mkuu wa nchi linapaswa kutunzwa.
Naweka maneno mawili matatu kuanzisha ukurasa wa maneno ya mkuu wetu.
Mimi ni raisi wa maskini wanaoshi kama malaika wataishi kama mashetani️️
serikali yangu haitawapa chakula Kila mtu atabeba msaba wake njaa haijaletwa na serikali️️
hakuna serikali iliyowahi kujenga nyumba za wahanga duniani pote. Nasisi hatujengi.️️
hakuna kufanya za siasa mpaka 2020 siasa huzuia maendeleo️️
siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa sheni kuwaingiza wapinzani️️
sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais , katiba sio kipaumbele changu kwa sasa nainyoosha nchi kwanza️️
police mkukita mtu anaendesha gari kwenye njia ya mwendo kasi ng'oa tairi uzeni️️
watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure️️
Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi kuyaongea . Ni wakati mwafaka kuweka maneno yake hapa.